RAPA MKALI Mkali Sana wa Marekani,Muandishi wa nyimbo,Muandaaji wa nyimbo na Mcheza Sinema E.V.E atua jijini NAIROBI Kwa ajili ya Show Kali litakalofanyika kwenye viwanja vya Carnivore Leo.
Hapa ni Davies, Eve , Msechu, Cabo Snoop na Shaggy wakitafakari show itakavyokua,pia Nairobi itawakilishwa na Amani,Jaguar na kundi la HotRod Band.
Hapa Wasanii wakiongea na vyombo vya Habari,Cabo snoop (mzee wa Windek ...windek na Prakatambuumba ..buumba na album yake ya kwanza inayokwenda kwa jina la Bluetooth), EVE (Who tha Girl?) na Shagyy ( Mr lover lover,Church heathen..).
WAZIRI KOMBO AAGANA NA BALOZI MTEULE WA TANZANIA NCHINI COMORO
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud
Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kumuaga Balozi mteule wa Tanzania nchini
Comor...
16 hours ago
No comments:
Post a Comment