RAPA MKALI Mkali Sana wa Marekani,Muandishi wa nyimbo,Muandaaji wa nyimbo na Mcheza Sinema E.V.E atua jijini NAIROBI Kwa ajili ya Show Kali litakalofanyika kwenye viwanja vya Carnivore Leo.
Hapa ni Davies, Eve , Msechu, Cabo Snoop na Shaggy wakitafakari show itakavyokua,pia Nairobi itawakilishwa na Amani,Jaguar na kundi la HotRod Band.
Hapa Wasanii wakiongea na vyombo vya Habari,Cabo snoop (mzee wa Windek ...windek na Prakatambuumba ..buumba na album yake ya kwanza inayokwenda kwa jina la Bluetooth), EVE (Who tha Girl?) na Shagyy ( Mr lover lover,Church heathen..).
CAMFED TANZANIA YATOA ELIMU YA STADI ZA MAISHA KWA WANAFUNZI GEITA
-
*Mwezeshaji wa Shirika la CAMFED Tanzania, Bi. Ashura Hamis akigawa vitabu
vya ‘Progamu ya Dunia Yangu Bora’ kwa Mwalimu Mkuu Msaidizi Shule ya
Sekondari...
40 seconds ago
No comments:
Post a Comment