EVE NAE KATIA MGUU WAKE KWENYE JIJI LA NAIROBI.... - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


1 Oct 2011

EVE NAE KATIA MGUU WAKE KWENYE JIJI LA NAIROBI....

RAPA MKALI Mkali Sana wa Marekani,Muandishi wa nyimbo,Muandaaji wa nyimbo na Mcheza Sinema E.V.E atua  jijini NAIROBI Kwa ajili ya Show Kali litakalofanyika kwenye viwanja vya Carnivore Leo.

Hapa ni Davies, Eve , Msechu, Cabo Snoop na Shaggy wakitafakari show itakavyokua,pia Nairobi itawakilishwa na Amani,Jaguar na kundi la HotRod Band.

Hapa Wasanii wakiongea na vyombo vya Habari,Cabo snoop (mzee wa Windek ...windek na Prakatambuumba ..buumba na album yake ya kwanza inayokwenda kwa jina la Bluetooth), EVE (Who tha Girl?) na  Shagyy ( Mr lover lover,Church heathen..).

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad