Mlezi wa Chama cha Wanamuziki wa nyimbo za Injili, Martha Mlata (kushoto) ambaye pia Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida akimkabidhi tuzo Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama kutokana na kutambua mchango wake katika kupambana na wezi wa kazi za wasanii. Wengine katika picha ni wasanii wa nyimbo za injili. (Picha na Francis Dande).
NAIBU SPIKA SILLO AKUTANA NA MKURUGENZI MTENDAJI CRDB BENKI
-
*Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Daniel
Sillo, akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Ndg. Abdulmajid
Nsekela l...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment