Sheria : Watano Kupigiwa Kura Kuongoza Chama cha Wanasheria(TLS) Kesho, Jijini Arusha - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


17 Mar 2017

Sheria : Watano Kupigiwa Kura Kuongoza Chama cha Wanasheria(TLS) Kesho, Jijini Arusha



Na Betty Alex, Arusha
Chama cha mawakili Tanganyika (Tanganyika Law Society) kinatarajia kufanya uchaguzi mkuu wa urais wa chama hicho kesho ambapo hadi sasa wagombea watano wamejitokeza kugombea nafasi hiyo.


Akizungumza katika mkutano mkuu wa chama hicho unaoendelea jijini Arusha rais mstaafu anayemaliza muda wake John Seka amesema uchaguzi wa mwaka huu umekua na hamasa kwakuwa umehusisha wagombea ambao wanafahamika zaidi na jamii na pia umefanyika kwenye sheria mpya za uchaguzi wa chama.


Seka amewataja wagombea hao maarufu kuwa ni Tundu Lisu,Fransis Stola,Laurence Masha,Victoroia Mandarin na Godwin Mwapongo.


Aidha Seka amewataka wanasheria kuzingatia misingi ikiwa ni pamoja na kuisaidia na kuishauri serikali katika utungaji wa sheria za bunge na mahakama na ili kuongeza nguvu katika kuwasaidia wanyonge na wasio na uwezo waweze kupata haki.


Amewataka wanachama wa chama hicho kujitathimini ni kiongozi gani atakayefaa kupigiwa kura ili aweze kukabidhiwa kijiti cha kuongoza chama hicho.


Kwa upande wake wakili wa kujitegemea Dk. Eva Hawa Sanare amewataka wanasheria kusoma sheria mpya ya katiba ya Kenya law society kwa kuwa wanasheria bado hawajaelewa utawala wa sheria Wajiendeleze ili kuepuka kesi ambazo hazijakamilika kwani baadhi yao wamekuwa wakiendesha kesi ambazo hazijakamilika Amesema kuwa bila wanasheria kufanya kazi yao na kuielewa kwa undani hawataweza kuendeleza majukumu yao ya kuisaidia jamii.


TLS ni Nini?
“The Tanganyika Law Society is the Bar association of Tanzania Mainland, founded in 1954 by an Act of Parliament – the Tanganyika Law Society Ordinance, Chapter 344 of the Laws.

The Tanganyika Law Society (TLS) is the Bar association of Tanzania Mainland, founded in 1954 by an Act of Parliament – the Tanganyika Law Society Ordinance 1954. The Tanganyika Law Society is currently governed by the Tanganyika Law Society Act, Cap 307 R.E. 2002, which repealed the earlier legislation.
TLS was established with several statutory objectives, including :-
  • To maintain and improve the standards of conduct and learning of the legal profession in Tanzania;
  • To facilitate the acquisition of legal knowledge by members of the legal profession and others;
  • To assist the Government and the Courts in all matters affecting legislation and administration and practice of the law in Tanzania;
  • To represent, protect and assist members of the legal profession in Tanzania as regards to conditions of practice and otherwise;
  • To protect and assist the public in Tanzania in all matters touching, ancillary or incidental to the law.



VISION
A society where justice and the rule of law are upheld.


MISSION
To promote and protect access to justice for all with sustained professional standards.

VALUES

TLS is guided by four core values. These values are the essential and enduring tenets of the Bar. They guide how the Bar relates and operates. Members, the governing council and the secretariat must recognize and adhere to these values. The values in the context of TLS mean:
Professionalism: The entire business of TLS shall be guided by the highest standards of international best practices and ethics, with its staff and members ensuring impartiality and a fair balance of competing interests, upholding ethical approaches to their business in public and private. A TLS member/staff will be seeking all the time to promote the common good in society, that is guided by integrity and must at all times maintain the highest standards of honesty, rightfulness and incorruptibility in the conduct of their professional and personal business. In pursuit of professionalism a TLS member/staff shall exercise solidarity with each other on all official and private matters of the profession. Members shall constantly pursue a shared professional understanding of issues in society, voluntarily provide peer support to each other and ethically stand up for each other on matters affecting the profession. All professionals and staff shall uphold professional confidentiality.
Transparency –TLS will be open and accountable with the professional provisions, and in relating with other partners and stakeholders.
Voluntarism –Members and staff will volunteer in serving the indigent of our society in the true spirit of Pro Bono.
Equity – while members and staff shall strive to seek justice for all equally, it is without prejudice that members shall serve all without discriminating in terms of race, colour, gender, age, nationality, cultural bias and religion. TLS members and staff shall respect diversity and appreciate the good in diversity.
Professional Solidarity– All members of TLS and Staff shall exercise solidarity with each other on all official matters of the profession. Members shall constantly pursue a shared professional understanding of issues in society, voluntarily provide peer support to each other and ethically stand up for each other on matters affecting the profession.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad