Michezo : Taifa Stars Yaibamiza Timu ya Botswana kwa Bao 2 - 0, Mbwana Samatta Afunga Zote. - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


26 Mar 2017

Michezo : Taifa Stars Yaibamiza Timu ya Botswana kwa Bao 2 - 0, Mbwana Samatta Afunga Zote.


Mbwana Sammata akiwa ametuliza mpira gambani mbele ya beki wa Botswana ,Ofentse Nato

Mbwana Sammata akimtoka beki wa Botswana, Ofentse Nato




Mbwana Sammata akipiga mpira langoni mbeleya mabeki wa Botswana

Mbwana Sammata akishangilia bao

Mbwana Sammata akishanngilia







Wachezaji wa Taifa Stars wakishangilia bao

Shiza kichuya akitawala mpira mbele ya beki wa Botswana Tapiwa Gadibolae




Ibrahim ajib akiwania mpira wa juu

Kiungo wa Timu ya Taifa Stars, Himid Mao akiruka juu sambmba na Beki wa Botswana kuwania mpira wa juu, katika Mchezo wa kirafiki wa rekodi za FIFA, uliochezwa jionu ya leo katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam leo. Taifa Stars imeshinda bao 2-0.

Simon Msuva akitawala mpira

Shiza kichuya na mpira

Beki wa kati wa Botswana , Mosha Galemonthale akimchezea vibaya Mbwana Sammata

Mbwana Samata akiondoka na mpira.








































No comments:

Post a Comment

Post Top Ad