Matukio : JAMBO LEO walivyoupokea Mwaka Mpya 2017 - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


9 Jan 2017

Matukio : JAMBO LEO walivyoupokea Mwaka Mpya 2017



Wafanyakazi wa Gazeti la Jambo Leo linalochapishwa na Kampuni ya Quality Media Group Limited wakiwa na furaha wakati wa hafla ya kuukaribisha Mwaka Mpya 2017 kwenye Ukumbi wa Ground Zero, Kurasini Dar es Salaam juzi.

Wakigongeana ikiwa ni ishara ya kutakiana heri ya Mwaka Mpya wa 2017

Wakicheza kwa furaha muziki uliokuwa ukiporomoshwa wakati wa hafla hiyo

Mwenyekiti wa Kamati ya hafla hiyo ambaye ni Mpiga Picha Mkuu wa gazeti hilo, Richard Mwaikenda akimtambulisha Mkurugenzi wa Gound Zero Lounge, Juma Pinto kwa madereva wa Kampuni Mama ya Quality Group Limited (QGL), Salumu (kushoto) na Ramadhan

Mhariri Mtendaji wa gazeti la Jambo Leo, Anicetus Mwesa akisalimiana na Juma Pinto. Kushoto ni Mhariri Mwandamizi wa gazeti hilo, Leon Bahati.

Wajumbe wa Kamati ya Sherehe hiyo wakijadiliana kuweka mambo sawa. Kutoka kushoto ni Zahoro Mlanzi, Grace Sima, Asha Kigundula na Neema Mgonja.

Katibu wa Kamati ya Sehetrehe, Neema Mgonja (aliyesimama) akiwapa utaratibu wa maakuli wajumbe. Kutoka kushoto ni Mwnyekiti wa Kamati hiyo, Richard Mwaikenda, Grace Sima, Jemmah Makamba na Dalila Sharif

Mhariri wa Habari wa Jambo Leo, Kachenje 9kulia0 akitaniana na Mhariri Mwandamizi, Frank Balile na Mhariri Mwandamizi wa Jambo Leo Wikiend, Said Mwishehe.

Ni furaha kwa wote

Sasa ni wakati wa msosi.




Charity James na Charles Jemes wakiserebuka

Ni msosi, vinywaji kwa kwenda mbele

Mpigapicha wa gazeti la Jambo Leo, Janeth Shekunde akimlisha ndafu Asha Kigundula ambaye alikuwa mweka hazina wa kamati hiyo ilifanikisha sherehe hiyo

Mpigapicha wa gazeti la Jambo Leo, Khamisi Mussa (kulia0 na Frank Balile wakila nyama choma ya mbuzi

Chief Sub Editor wa Jambo Leo, Joseph Kulangwa akicheza muziki na Stelah Kessy pamoja na Charity James

Sasa ni wakati wa supu ya mbuzi

Ni furaha, furaha, furahaaaaaaaa

Mwaikenda akiwa na Jemmah Makamba (katikati) pamoja na Dalila Sharif

Baadhi ya waandishi wa kike wa Jambo Leo wakiwa na sura zenye bashaha wakati wa hesrehe hiyo

Sasa ni mwendo mdundo

Mhariri Mtendaji wa Jambo Leo, Mwess (katikati) akifurahi na baadhi ya waandishi wa habari wa gazeti hilo

Mmoja wa Wakurugenzi wa Ground Zero Lounge, Benny Kisaka akisalimiana na Mhariri wa Jambo Leo, Kachenje. Kushoto ni Mhariri Mwandamizi wa gazeti hilo, Mashaka Mgeta na Kulangwa.

Maakuli, maakuli, maakuli

Mwesa na Bahati wakiwa na furaha

Mwaikenda akiserebuka na Jemmah

Kachenje na Charity ni muziki tu

Wasanifu kurasa wa gazeti hilo wakipata supu ya mbuzi. Kutoka kulia ni Grace Sima, Robert na Khamisi Kumbuka

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad