Mshehereshaji
katika Tamasha la Kimataifa la Maonyesho ya Mitindo la "Swahili Fashion
Week" lililoanza rasmi usiku wa Desemba 2, 2016 katika Ukumbi wa
Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar es salaam, Lilian Kamazima akizungumza
wakati wa kuwashukuru wadhamini mbalimbali waliolifanikisha Tamasha
hilo, ikiwemo Globu ya Jamii. Tamasha hilo lileanza rasmi Desemba 2 na
linatarajiwa kumalizika Desemba 4, 2016.

Sehemu ya Wageni mbalimbali waliohudhulia katika Maonyesho hayo.






Mbunifu wa Mitindo ya Mavazi nchini, Jamilla VeraSwai akipita jukwaani baada ya Wanamitindo kuonyesha mavazi yake.







Mbunifu
wa Mitindo ya Mavazi nchini, Lilian Patropa akipita jukwaani
kuwashukuru watazamaji baada ya Wanamitindo kupita kuonyesha mavazi
yake.





































