Matukio : Mwalimu afariki katika Mkutano wa Chama chao cha CWT Jijini Dar es Salaam - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Sunday, 4 December 2016

demo-image

Matukio : Mwalimu afariki katika Mkutano wa Chama chao cha CWT Jijini Dar es Salaam



1
 Marehemu Mwalimu Tuhobwike Mwinuka 
Mwakatumbula enzi za uhai wake.

2
 Jeneza lenye mwili wa mwalimu Tuhobwike Mwinuka Mwakatumbula likiwa ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Wazo Hili Dar es Salaam leo asubuhi wakati wa ibada ya kuuaga mwili huo.
3+%25281%2529
 Mume wa marehemu, Samuel Mwakatumbula akibusu mwili wa marehemu mke wake wakati wa ibada hiyo ya kumuaga mpendwa wake. Kushoto ni mtoto wake Kelvin.
IMG_4628
 Mume wa marehemu, Samuel Mwakatumbula akimuaga mpendwa wake. 
IMG_4575
Binamu wa marehemu, Nobert Nselu (kulia) akimsaidia rafiki wa karibu wa marehemu mama Malugu wakati mwili wa marehemu ukiwasili nyumbani kwake.
IMG_4576
 Rafiki wa marehemu mama Malugu (katikati) akisaidiwa.
IMG_4577
 Waombolezaji wakiwa msibani nyumbani kwa marehemu 
Wazo Hill.
IMG_4578

IMG_4580
 Ni huzuni kubwa 
IMG_4584
 Wakina mama wakiwa na maua wakati wakisubiri mwili wa marehemu kuingizwa ndani.
IMG_4596
 Geneza lenye mwili wa marehemu likiingizwa nyumbani kwake. 

 Mume wa marehemu Samuel Mwakatumbula akimuaga mke wake
IMG_4632
 Mtoto mkubwa wa marehemu Nico Mwakatumbula (katikati), akisaidiwa baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mama yake.
IMG_4653
 Waombolezaji wakiingiza jeneza lenye mwili wa marehemu katika Kanisa la KKKT Usharika wa Wazo Hill.
IMG_4656
 Mwili ukiwa kanisani.
IMG_4663
 Mume wa marehemu akiwa na watoto wake. Kutoka kulia ni Gloria, Kelvin na Nico.
IMG_4665
 Wanafamilia wakiwa katika ibada hiyo ya kumuaga mpendwa wao.
IMG_4667
 Waumini wa kanisa hilo wakiwa kwenye ibada hiyo.

MWALIMU AFARIKI KATIKA MKUTANO WA CHAMA CHAO CHA CWT JIJINI DAR ES SALAAM


1
 Marehemu Mwalimu Tuhobwike Mwinuka 
Mwakatumbula enzi za uhai wake.

2
 Jeneza lenye mwili wa mwalimu Tuhobwike Mwinuka Mwakatumbula likiwa ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Wazo Hili Dar es Salaam leo asubuhi wakati wa ibada ya kuuaga mwili huo.
3+%25281%2529
 Mume wa marehemu, Samuel Mwakatumbula akibusu mwili wa marehemu mke wake wakati wa ibada hiyo ya kumuaga mpendwa wake. Kushoto ni mtoto wake Kelvin.
IMG_4628
 Mume wa marehemu, Samuel Mwakatumbula akimuaga mpendwa wake. 
IMG_4575
Binamu wa marehemu, Nobert Nselu (kulia) akimsaidia rafiki wa karibu wa marehemu mama Malugu wakati mwili wa marehemu ukiwasili nyumbani kwake.
IMG_4576
 Rafiki wa marehemu mama Malugu (katikati) akisaidiwa.
IMG_4577
 Waombolezaji wakiwa msibani nyumbani kwa marehemu 
Wazo Hill.
IMG_4578

IMG_4580
 Ni huzuni kubwa 
IMG_4584
 Wakina mama wakiwa na maua wakati wakisubiri mwili wa marehemu kuingizwa ndani.
IMG_4596
 Geneza lenye mwili wa marehemu likiingizwa nyumbani kwake. 

 Mume wa marehemu Samuel Mwakatumbula akimuaga mke wake
IMG_4632
 Mtoto mkubwa wa marehemu Nico Mwakatumbula (katikati), akisaidiwa baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mama yake.
IMG_4653
 Waombolezaji wakiingiza jeneza lenye mwili wa marehemu katika Kanisa la KKKT Usharika wa Wazo Hill.
IMG_4656
 Mwili ukiwa kanisani.
IMG_4663
 Mume wa marehemu akiwa na watoto wake. Kutoka kulia ni Gloria, Kelvin na Nico.
IMG_4665
 Wanafamilia wakiwa katika ibada hiyo ya kumuaga mpendwa wao.
IMG_4667
 Waumini wa kanisa hilo wakiwa kwenye ibada hiyo.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *