Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Kassim Majaliwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo wakizungumza na mmoja wa watu wenye ulemavu walionufaika na msaada wa Pikipiki leo. |
Pikipiki mpya zaidi ya 200 zenye thamani ya Sh 400 milioni zilizotolewa kwa vijana jijini Arusha leo katika ziara ya Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa. |