Matukio : Marehemu Mpoki Bukuku Azikwa nyumbani kwao Msalato Mkoani Dodoma - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


29 Dec 2016

Matukio : Marehemu Mpoki Bukuku Azikwa nyumbani kwao Msalato Mkoani Dodoma



Alice Mama wa Marehemu Mpoki Bukuku akisaidiwa kuweka shada la maua katika kaburi la mwanaye Mpoki Bukuku wakati wa mazishi hayo yaliyofanyika Msalato nje kidogo ya mji wa Dodoma Marehemu Mpoki alifariki hivi karibuni jijini Dar es salaam kwa kugongwa na gari maeneo ya Mwenge.

Watoto wa Marehemu Mpoki Bukuku Junior akiongozana na wadogo zake wakiweka shada la maua katika kaburi la baba yao wakati wa mazishi yaliyofanyika Msalato nje kidogo ya mji wa Dodoma.

Junior akiwa ameshikili msalaba kwa majonzi wakati wa mazishi ya baba yake.

Mke wa Marehemu Mpoki Bukuku Bi. Lilian na watoto wake wakiaga mwili wa marehemu Mpoki Bukuku.

jeneza lenye Mwili wa marehemu Mpoki Bukuku likiteremshwa kaburini.

Mbunge wa Singida Mashariki Mh Lazaro Nyalandu akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu Mpoki Bukuku.

Mke wa Marehemu Bi Lilian akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu mumewe.

Viongozi wa Dini wakiwa katika ibada hiyo ya mazishi.



Ndugu na jamaa waombolezaji wakiomboleza kwa uchungu mkubwa.





Naibu Waziri Anthony Mavunde pamoja na mbunge wa Singida Mashariki Mh. Razalo Nyalandu wakiombea mwili wa marehemu Mpoki Bukuku.





Waombolezaji wakiaga mwili wa marehemu





Junior akiaga mwili wa baba yake Marehemu Mpoki Bukuku.





Mama wa Marehemu Mama Alice akiaga mwili wa mtoto wake mpendwa marehemu Mpoki Bukuku.





Waombolezaji wakiwa katika mstari wa kuaga mwili wa marehemu.





Naibu Waziri Anthony Mavunde pamoja na mbunge wa Singida Mashariki Mh. Razalo Nyalandu wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Mpoki Bukuku.





Naibu Waziri Anthony Mavunde akitoa salam za pole kwa wafiwa.





Naibu Waziri Anthony Mavunde akisaini kitabu cha maombolezo.





Mpiga picha wa magazeti ya Serikali TSN Habari Leo na Dairly News Bw. Mroki Mroki akitoa salamu za pole kwa wafiwa kwa niaba ya chama cha wapigapicha.





Bw. John Bukuku akitoa salamu za pole kwa wafiwa kwa niaba ya Wanamitandao





Mwenyekiti wa Press Club ya waandishi wa habari mkoani Dodoma Bw. Chidawali akitoa salamu zake kwa niaba ya wanahabari mkoani humo.





Mbunge wa Singida mjini Mh. Lazaro Nyalandu akitoa salam za pole kwa wafiwa.





Waombolezaji wakiwa katika mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu Mpoki Bukuku.



Alice Mama wa Marehemu Mpoki Bukuku akisaidiwa kuweka shada la maua katika kaburi la mwanaye Mpoki Bukuku wakati wa mazishi hayo yaliyofanyika Msalato nje kidogo ya mji wa Dodoma Marehemu Mpoki alifariki hivi karibuni jijini Dar es salaam kwa kugongwa na gari maeneo ya Mwenge.



Watoto wa Marehemu Mpoki Bukuku Junior akiongozana na wadogo zake wakiweka shada la maua katika kaburi la baba yao wakati wa mazishi yaliyofanyika Msalato nje kidogo ya mji wa Dodoma.



Junior akiwa ameshikili msalaba kwa majonzi wakati wa mazishi ya baba yake.



Mke wa Marehemu Mpoki Bukuku Bi. Lilian na watoto wake wakiaga mwili wa marehemu Mpoki Bukuku.


jeneza lenye Mwili wa marehemu Mpoki Bukuku likiteremshwa kaburini.

Mbunge wa Singida Mashariki Mh Lazaro Nyalandu akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu Mpoki Bukuku.

Mke wa Marehemu Bi. Lilian akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu mumewe.

Viongozi wa Dini wakiwa katika ibada hiyo ya mazishi.

Ndugu na jamaa waombolezaji wakiomboleza kwa uchungu mkubwa.

Naibu Waziri Anthony Mavunde pamoja na mbunge wa Singida Mashariki Mh. Razalo Nyalandu wakiombea mwili wa marehemu Mpoki Bukuku.

Waombolezaji wakiaga mwili wa marehemu

Junior akiaga mwili wa baba yake Marehemu Mpoki Bukuku.

Mama wa Marehemu Mama Alice akiaga mwili wa mtoto wake mpendwa marehemu Mpoki Bukuku.

Waombolezaji wakiwa katika mstari wa kuaga mwili wa marehemu.

Naibu Waziri Anthony Mavunde pamoja na mbunge wa Singida Mashariki Mh. Razalo Nyalandu wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Mpoki Bukuku.

Naibu Waziri Anthony Mavunde akitoa salam za pole kwa wafiwa.

Naibu Waziri Anthony Mavunde akisaini kitabu cha maombolezo.

Mpiga picha wa magazeti ya Serikali TSN Habari Leo na Daily News Bw. Mroki Mroki akitoa salamu za pole kwa wafiwa kwa niaba ya chama cha wapigapicha.

Bw. John Bukuku akitoa salamu za pole kwa wafiwa kwa niaba ya Wanamitandao

Mwenyekiti wa Press Club ya waandishi wa habari mkoani Dodoma Bw. Chidawali akitoa salamu zake kwa niaba ya wanahabari mkoani humo.

Mbunge wa Singida mjini Mh. Lazaro Nyalandu akitoa salam za pole kwa wafiwa.


Waombolezaji wakiwa katika mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu Mpoki Bukuku.



NYUMBANI KWA MPOKI BUKUKU





Nyumba ya ghorofa moja iliyopo Tabata Bwawani, Dar es Salaam, aliyoiacha aliyekuwa MpigaPicha Mwandamizi wa The Guardian, marehemu Mpoki Bukuku. Waliopo nje ni baadhi ya waombolezaji akiwemo Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe (katikati).PICHA NA RICHARD MWAIKENDA:KAMANDA WA MATUKIO BLOG



Upande wa nyuma wa mjengo huo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad