Kutoka Kenya : Mila ya kurithi wajane - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


20 Nov 2016

Kutoka Kenya : Mila ya kurithi wajane



By Anne Mawathe For Citizen Digital 

Kurithi wajane katika maeneo ya magharibi mwa kenya ni mojawapo ya changamoto zinazowakumba baadhi yao hasa kwa kuwa maradhi ya ukimwi yanazidi kusambaa na wengine wamekuwa kama kupe…akiuma haachi…mwandishi wetu Anne Mawathe anaarifu zaidi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad