Elimu ya Juu : Nderemo, Vifijo Vyatawala Mahafali ya Chuo kikuu cha Tumaini ,Kampasi ya Dar - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Sunday, 20 November 2016

demo-image

Elimu ya Juu : Nderemo, Vifijo Vyatawala Mahafali ya Chuo kikuu cha Tumaini ,Kampasi ya Dar


01
 Wanafunzi waliohitimu na kutunukiwa Shahada ya Uzamili ya Uongozi wa Biashara wakishangilia wakati wa Mahafali ya 10 ya  Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira tawi la Dar es Salaam Tudarco yaliyofanyika leo Mwenge, Dar es Salaam.

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira, Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Frederick  Shoo, alitunuku  jumla ya wahitimu 733. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG}
02
 Mkuu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira, Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Frederick  Shoo,akimtunuku Evelyn Wallace Shundi Shahada ya Uzamili ya Uongozi wa Biashara wakati wa Mahafali ya 10 ya  Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira tawi la Dar es Salaam Tudarco yaliyofanyika leo Mwenge, Dar es Salaam.
03
 Wahitimu Agnes Nsokolo (kulia) na Asha Kidendei wakiwa na furaha baada ya  kuwa miongoni mwa wahitimu 43 waliotunukiwa  Shahada ya Uzamili ya Uongozi wa Biashara wakati wa Mahafali ya 10 ya  Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira tawi la Dar es Salaam Tudarco yaliyofanyika leo Mwenge, Dar es Salaam.
04
 Evelyn Shundi ambaye ni mfanyakazi wa Ewura akiwa na furaha wakati wa mahafali hayo.
IMG_9077
 Wahitimu wakivaa kofia baada ya kutukiwa
IMG_9082
 Mmoja wa wanafunzi akipatiwa cheti wakati wa mahafali hayo
IMG_9086
 Wakivaa kofia ikiwa ni ishara ya kunukiwa
IMG_9088
 Wahitimu wakiwa wamekaa baada ya kutunukiwa
IMG_9107
 Wahitimu wakiwa wamesimama mbele ya Mkuu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira wakisubiri kutunukiwa Shahada ya Uzamili
IMG_9166
 Domina Rwemanyila (kushoto) na Diana Tengia wakiwa na furaha baada ya kutunukiwa Sahada ya Sanaa ya  Mawasiliano ya Umma
IMG_9173
 Ni furaha iliyoje kutunukiwa Shahada ya Uzamili
IMG_9206
 Mkuu wa Chuo Kikuu hicho, Dk Frederick Shoo na viongozi wengine wakiwa katika picha ya pamoja na wahitimu waliotunukiwa Sahada ya Uzamili ya Uongozi wa Biashara
IMG_9210
 Wapigapicha wakiwa kazini wakati wa mahafali hayo
IMG_9228
 Brass Band ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakipiga wimbo wa Taifa wakati wa kuhitimisha mahafali hayo
IMG_9319
 Julieth (katikati) akiwa na ndugu zake baada ya kuhitimu katika chuo hicho. 
KWA MAWASILIANO ZAIDI;0715 264202/0754 264203

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *