Urembo /Ubunifu: Nape akutana na washiriki wa Miss Tanzania 2016 - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


6 Oct 2016

Urembo /Ubunifu: Nape akutana na washiriki wa Miss Tanzania 2016

  Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimiana na baadhi ya washiriki wa Shindano ya Miss Tanzania 2016 walipokutana kuzungumza kuhusu masuala ya urembo nchini na baadae kushiriki katika zoezi la upandaji miti Mjini Dodoma.
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na washiriki wa wa Shindano ya Miss Tanzania 2016 na wadau wa Mashindano ya urembo nchini walipokutana kuzungumza kuhusu masuala ya urembo nchini na baadae kushiriki katika zoezi la upandaji miti Mjini Dodoma.

  Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akishiriki kupanda  miti wakati alipokutana na kuzungumza kuhusu masuala ya urembo nchini na baadae kushiriki katika zoezi la upandaji miti Mjini Dodoma
 Baadhi ya washiriki wa Shindano la Miss Tanzania 2016 wakipanda miti katika zoezi la upandaji miti lililofanyika Mjini Dodoma.

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiwa katika picha pamojja na washiriki wa Shindano la Miss Tanzania 2016 mara baada ya kufanya mazungumzo nao na  kushiriki zoezi la upandaji miti lililofanyika Mjini Dodoma.


Picha na Kitengo cha Mwasiliano WHUSM.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad