
Taarifa
iliyoifikia asubuhi hii, inaeleza kuwa Bondia Thomas Mashali amekutwa
amefariki dunia usiku wa kuamkia leo na mwili wake kukutwa maeneo ya Kimara,
Jijini Dar es salaam. akithibitisha kutokea kwa kifo cha mwanamasumbwi
huyo, Bondia Abdallah Pazi (Dullah Mbabe) amesema Mashali amefikwa na
umauti huo usiku wa kumkia leo kwa kudaiwa kupigwa mpaka kuuawa na watu
wasiojulikana kwa tuhuma za wizi.
No comments:
Post a Comment