Matukio : Ufunguzi rasmi wa maonesho ya katuni na vibonzo ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Friday, 21 October 2016

demo-image

Matukio : Ufunguzi rasmi wa maonesho ya katuni na vibonzo ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam


unnamed+%252818%2529
 Mgeni Maalum,Masoud Kipanya akiwa na Mkurugenzi wa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Bw Achiles Bufure (kushoto) pamoja na Rais wa Chama cha Wasanii na Wachongaji Tanzania (CHAWASAWATA), Bw. Adrian Nyangamalle,Mwenyekiti wa Chama cha  Wachoraji Katuni Tanzania,Nathan Mpangala wakikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa maonesho ya katuni na vibonzo leo  katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam
unnamed+%252825%2529
 Mgeni Maalum,Masoud Kipanya akizungumza na wadau mbalimbali  katika hafla ya  uzinduzi wa maonesho ya katuni na vibonzo katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.OKTOBA 20-2016
unnamed+%252824%2529
 Picha ya pamoja
unnamed+%252816%2529
 Mwenyekiti wa Chama cha  Wachoraji Katuni Tanzania,Nathan Mpangala akizungumza katika  hafla ya  uzinduzi wa maonesho ya katuni na vibonzo katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam
unnamed+%252819%2529
 Wadau wa maonesho ya katuni na vibonzo wakifurahia ufunguzi huo katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam
unnamed+%252820%2529
  Wadau wa maonesho ya katuni na vibonzo wakifurahia ufunguzi huo katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam
unnamed+%252821%2529
  Wadau wa maonesho ya katuni na vibonzo wakianganlia maonesho katika furahia ufunguzi huo katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam
unnamed+%252822%2529
 Mwenyekiti wa Chama cha  Wachoraji Katuni Tanzania,Nathan Mpangala akimwelekeza jambo Ankal wakati wa uzinduzi wa maonesho ya katuni na vibonzo 
unnamed+%252823%2529
 Mgeni Maalum,Masoud Kipanya akiwa na Mkurugenzi wa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Bw Achiles Bufure (kulia  pamoja na Rais wa Chama cha Wasanii na Wachongaji Tanzania (CHAWASAWATA), Bw. Adrian Nyangamalle (kushoto)na mdau
unnamed+%252826%2529
 Wadu katika ufunguzi rasmi wa maonesho ya katuni na vibonzo   katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.
 Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *