Matukio : UTT AMIS ilivyoshiriki Maonesho katika Mkutano Mkuu wa Wahandisi - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


7 Sept 2016

Matukio : UTT AMIS ilivyoshiriki Maonesho katika Mkutano Mkuu wa Wahandisi

Rais John Magufuli akisalimiana na Ofisa Mafunzo Uendeshaji wa UTT-Amis, Dorice Mlenge wakati alipotembelea banda la UTT wakati wa Mkutano Mkuu wa Wahandisi uliofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Katikati ni Ofisa Mafunzo, Masoko na Habari, Pauline Kasilati.
 Wateja wakipata maelezo katika banda la UTT-AMIS.
 Ofisa Mafunzo, Masoko na Habari, Pauline Kasilati akitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliofika katika banda lao. 
 Ofisa Mafunzo, Masoko na Habari, Pauline Kasilati.
Ofisa Mafunzo Uendeshaji wa UTT-AMIS, Hilder Lyimo akimpa maelezo kuhusu Uwekezaji wa Pamoja, kwa mmoja wa watu waliofika katika banda lao.
Ofisa Mafunzo Uendeshaji wa UTT-AMIS, Hilder Lyimo akitoa maelezo kuhusu Uwekezaji wa Pamoja kwa mmoja wa watu waliofika katika banda lao.
Watu mbalimbali wakitembelea banda la UTT AMIS.
 Ofisa Mafunzo, Masoko na Habari, Pauline Kasilati akipokea cheti kutoka kwa waandaaji wa maonesho hayo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad