ALIYEKUWA WAZIRI MKUU WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CHADEMA, MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA, ASubuhi hii yupo jijini Nairobi, nchini Kenya kwa ajili ya Misa ya kumuaga aliyekuwa Rafiki yake wa karibu na Mwanasiasa Nguli William Ronkorua Ole Ntimama , aliyefariki september 1 mwaka huu na atazikwa kesho nyumbani kwake katika mji wa Narok, kenya, ambado Mh. Lowassa atakuwepo pia.
West Ham Wampa Heshima Bingwa wa Afrika Malick Diouf
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Beki kinda wa Senegal na bingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON25, El
Hadji Malick Diouf, ameendelea kuishi katika kilele cha f...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment