ALIYEKUWA WAZIRI MKUU WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CHADEMA, MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA, ASubuhi hii yupo jijini Nairobi, nchini Kenya kwa ajili ya Misa ya kumuaga aliyekuwa Rafiki yake wa karibu na Mwanasiasa Nguli William Ronkorua Ole Ntimama , aliyefariki september 1 mwaka huu na atazikwa kesho nyumbani kwake katika mji wa Narok, kenya, ambado Mh. Lowassa atakuwepo pia.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment