Matukio : Lowassa Ahudhuria Mazishi ya mwanasiasa Ole Ntimama, Kenya - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


13 Sept 2016

Matukio : Lowassa Ahudhuria Mazishi ya mwanasiasa Ole Ntimama, Kenya

ALIYEKUWA WAZIRI MKUU WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CHADEMA, MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA,  ASubuhi hii yupo jijini Nairobi, nchini Kenya kwa ajili ya Misa ya kumuaga aliyekuwa Rafiki yake wa karibu na Mwanasiasa Nguli William Ronkorua Ole Ntimama , aliyefariki september 1 mwaka huu na atazikwa kesho nyumbani kwake katika mji wa Narok, kenya, ambado Mh. Lowassa atakuwepo pia.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad