Burudani :Msimu wa Fiesta Waacha Historia kwa Wakazi wa Shinyanga - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


7 Sept 2016

Burudani :Msimu wa Fiesta Waacha Historia kwa Wakazi wa Shinyanga


Msanii wa Bongo Fleva Linah akiwaburudisha wakazi wa Shinyanga katika Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika katika Uwanja wa Nje wa Kambarage Mjini Shinyanga mwishoni wa wiki hii.

Billnas na Linah wakiimba kwa pamoja katika jukwaaa la Tigo Fiesta 


Madee akilishambulia jukwaa la Tigo Fiesta huku mashabiki wakiishangilia wakati wa Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika mwishoni wa wiki hii Mjini Shinyanga

Niki wa Pili akionesha umahiri wa mashairi katika jukwaa la Tigo Fiesta mwishoni wa wiki hii mjini Shinyanga 

Msanii nguli wa Bongo Fleva na mkazi wa Shinyanga Noorah akitumbuiza katika Jukwaa la Tigo Fiesta mapema mwishoni wa wiki iliyopita .
Benpol na Jux wakiimba kwa pamoja wimbo wa NAKUCHANA katika jukwaa la Tigo Fiesta viwanja vya Kambarage Mjini Shinyanga

Chemical akionesha umahiri wake na kuburudisha umati wa wakazi wa Shinyanga waliohudhuria Tamasha la Tigo Fiesta mapema mwishoni wa wiki iliyopita.




Jay Moe akiwarusha wakazi wa Shinyanga katika Tamasha la Tigo Fiesta mwishoni wa wiki hii

Umati wa wakazi wa Shinyanga wakitoa SHANGWE ya IMOOOO katika Tamasha la Tigo Fiesta liliofanyika katika viwanja ya Kambarage mwishoni wa wiki iliyopita

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad