Utalii /Fursa: Maonyesho ya Sanaa za Mikono Afrika Mashariki Kufanyika Septemba 23 -25 2016, Jijini Arusha - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


24 Aug 2016

Utalii /Fursa: Maonyesho ya Sanaa za Mikono Afrika Mashariki Kufanyika Septemba 23 -25 2016, Jijini Arusha

Sanaa za Mikono....
Sanaa za Mikono....


Mratibu wa Maonyesho ya Sanaa za Mikono kwa Afrika Mashariki Bi. Nakaaya Sumari akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) na baadhi ya wadau waliokuja kwenye uzinduzi wa Maonyesho hayo kwa vyombo vya habari, vinavyotarajiwa kufanyika mwezi septemba 23 hadi 25 2016, Jijini Arusha



Sanaa za Mikono....
Sanaa za Mikono....
Sanaa za Mikono....














Ramadhani Mvungi (Star Tv ) na Ihucha Adam (EABC-PR)wakiteta jambo....
Mpiga Picha Kapigwa Picha Akionyesha Picha kwa wapigwa picha na mpiga Picha...
Mtangazaji Maarufu wa AZAM TV (Idd Uwesu ) katika Ubora wake....

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad