Mcheza tenisi maarufu, Mmarekani Serena Williams akiwa amezimia uwanjani
kwa furaha ya kutwaa taji la saba la Wimbledon mjini London leo baada ya
kumfunga Mjerumani Angelique Kerber katika fainali ya wanawake kwa seti
2-0, akishinda 7-5 na 6-3 na kutimiza mataji 22 ya Grand Slam, hivyo
kufikia rekodi ya Steffi Graf kama wanawake waliotwaa mataji mengi zaidi.
Kwa ushindi huo, amezawadiwa Pauni Milioni 2 huku Angelique Kerber akipata
Pauni Milioni 1 kwa kushika nafasi ya pili....Kwa Picha Zaidi Bofya Humu >>>>
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Movies, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
-
Kampuni ya Simtanki imekutana na mawakala zaidi ya 60 kutoka mikoa
mbalimbali ya Tanzania ilikurudisha shukurani kwao kutokana na kile
wanachokifanya i...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
No comments:
Post a Comment