Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud Mohmamed
akitembelea mabanda ya maonesho ya biashara mbali mbali za wajasiriamali
kabla ya ufunguzi wa Tamasha la Mzanzibari kwa niaba ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
katika viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi
Michenzani Mjini Unguja.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud Mohmamed
akiangalia kamusi la lahaja la Kipemba wakati alipotembelea mabanda ya
maonesho ya bidhaa za wajasiriamali kabla ya ufunguzi wa Tamasha la
Mzanzibari kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya
miaka 50 ya Mapinduzi Michenzani Mjini Unguja
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud Mohmamed
akiangali bidhaa za wajasiriamali wakati alipotembelea mabanda ya
maonesho kabla ya ufunguzi wa Tamasha la Mzanzibari kwa niaba ya Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
katika viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi
Michenzani Mjini Unguja
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud Mohmamed (wa
pili kushoto) akiangali bidhaa za wajasiriamali wakati alipotembelea
mabanda ya maonesho kabla ya ufunguzi wa Tamasha la Mzanzibari kwa
niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein katika viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya
Mapinduzi Michenzani Mjini Unguja
Baadhi
ya Viongozi waliohudhuria katika Sherehe za ufunguzi wa Tamasha la
mzanzibari zilizofanyika leo katika viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya
miaka 50 ya Mapinduzi Michenzani Mjini Unguja wakimsikiliza Waziri wa
Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud Mohmamed
alipokuwa akitoa hutuba ya ufunguzi kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Baadhi
ya Viongozi waliohudhuria katika Sherehe za ufunguzi wa Tamasha la
mzanzibari zilizofanyika leo katika viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya
miaka 50 ya Mapinduzi Michenzani Mjini Unguja wakimsikiliza Waziri wa
Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud Mohmamed
alipokuwa akitoa hutuba ya ufunguzi kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Maafisa
mbali mbali na wananchi waliohudhuria katika sherehe za ufunguzi wa
Tamasha la Mzanzibari wakifuatilia kwa makini hotubaya iliyotolewa leo
na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud
Mohmamed kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud Mohmamed
akitoa hotuba ya ufunguzi wa Tamasha la Mzanzibari kwa niaba ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
katika viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi
Michenzani Mjini Unguja
Baadhi
ya wananchi waliohudhuria katika sherehe za ufunguzi wa Tamasha la
Mzanzibari wakifuatilia kwa makini hotubaya iliyotolewa leo na Waziri wa
Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud Mohmamed kwa
niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein
Akina
mama waliovalia vazi la asili ya Mzanzibari wakati wa sherehe za
ufunguzi wa Tamasha la Mzanzibari lililofanyika leo katika viwanja vya
Mnara wa kumbukumbu ya miaka 50ya Mapinduzi ambapo mgeni rasmi akiwa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud
Mohmamed kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Wasanii
mbali walioimba wimbo wa Kipindupindu mbele ya Waziri wa Nchi Ofisi ya
Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud Mohmamed wakati wa Ufunguzi wa
Tamasha la Mzanzibar liliofungulia leo kwa niaba ya Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Wasanii
wa Jeshi la mafunzo Zanzibar wakicheza ngoma ya Mkurungu yenye asili
yake kjijiji cha Nungwi Wilaya Kaskazini A.Unguja wakati wa ufunguzi wa
Tamasha la mzanzibari lililofunguliwa leo na Waziri wa Nchi Ofisi ya
Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud Mohmamed kwa niaba ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
katika viwanja vya mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya
Mapinduzi,Michenzani Mjini Zanzibar
Baadhi
ya wananchi walihudhuria katika ufunguzi wa Tamasha la mzanzibari
walipokuwa wakiangalia burudani mbali mbali zilizotolewa na vikundi vya
wasanii katika ufunguzi huo uliofanyika leo katika viwanja vya mnara wa
kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi,Michenzani Mjini Zanzibar
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo Omar Hassan Omar
akitoa maelzo kuhusu Tamasha la Mzanzibari wakati wa Ufunguzi wa tamasha
hilo lililofunguliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais
Mhe,Mohammed Aboud Mohmamed kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya mnara wa
kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi,Michenzani Mjini Zanzibar.[Picha na
Ikulu, Zanzibar.]
No comments:
Post a Comment