Michezo : Timu ya Yanga ya Dar es Salaam Yakubali kichapo cha Ugenini cha bao 1 -0 dhidi ya timu ya Algeria - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


20 Jun 2016

Michezo : Timu ya Yanga ya Dar es Salaam Yakubali kichapo cha Ugenini cha bao 1 -0 dhidi ya timu ya Algeria



Mchezo wa kwanza wa makundi Kombe la Shirikisho kati ya Bajaia ya Argeria na Yanga, umemalizika hivi punde huko jijini Bajaia, huku Yanga wakikubari kipigo cha bao1-0 dhidi ya Bajaia. Bao hilo lilifungwa na Yassin Salhi katika dakika ya 20 na dakika ya 90+ beki wa kushoto wa Yanga Mwinyi Hajji, alizawadiwa kadi nyekundu baada ya kumchezea faulo mshambuliaji wa Mo Bajaia. Baada ya mchezo huo Yanga wanarejea nchini Uturuki kuendelea na Kambi yao kwa ajili mchezo dhidi yao ya TP Mazembe unaotarajia kupigwa Juni 28 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad