Mchezo wa kwanza wa makundi Kombe la Shirikisho kati ya Bajaia ya Argeria
na Yanga, umemalizika hivi punde huko jijini Bajaia, huku Yanga wakikubari
kipigo cha bao1-0 dhidi ya Bajaia. Bao hilo lilifungwa na Yassin Salhi
katika dakika ya 20 na dakika ya 90+ beki wa kushoto wa Yanga Mwinyi Hajji,
alizawadiwa kadi nyekundu baada ya kumchezea faulo mshambuliaji wa Mo
Bajaia. Baada ya mchezo huo Yanga wanarejea nchini Uturuki kuendelea na
Kambi yao kwa ajili mchezo dhidi yao ya TP Mazembe unaotarajia kupigwa Juni
28 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Costech na Crdb wazindua Mikopo Nafuu kwa Wabunifu
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetangaza
kuanzisha mpango wa mikopo nafuu kwa wabunifu ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment