Unyayo wangu ni kipindi kipya kabisa kinachokujia kupita Tone Tv,
ambacho kinaletwa kwenu na Mtangazaji wetu Eddie Nyota , kinacholenga
shabaha ya watu waliothubutu kufanya jambo fulani katika jamii na
wanauelewa na jamii husika. Utajifunza mengina kuburudika pia kupitia
kipindi hiki Kinacholenga rika zote.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhcHVrCNCQtNQrcBGszvvjpDCyIWgITx_mv7fAQ5VIDG2fdWxbZmiNng_Mdz24lO0ir81XRyQha1u5YRpqkLSg-xcAqFwVM8hF6MqmD_81-jJsLQGS4y9-BuS-oUq99F6vhUMx9TnTi8HU/s640/Unyayo+Wangu.jpg)
No comments:
Post a Comment