Unyayo wangu ni kipindi kipya kabisa kinachokujia kupita Tone Tv,
ambacho kinaletwa kwenu na Mtangazaji wetu Eddie Nyota , kinacholenga
shabaha ya watu waliothubutu kufanya jambo fulani katika jamii na
wanauelewa na jamii husika. Utajifunza mengina kuburudika pia kupitia
kipindi hiki Kinacholenga rika zote.
WAHITIMU CATC WAKUMBUSHWA KUJIFUNZA ZAIDI SEHEMU ZA KAZI
-
*Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Uongozaji ndege TCAA Bi Flora Alphonce
akizungumza wakati wa mahafali.*
*Wahitimu wa Chuo cha Usafiri wa Anga (CAT...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment