Utalii wetu : Wakuu wa mikoa watembelea hifadhi ya Taifa ya Tarangire - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Thursday, 19 May 2016

demo-image

Utalii wetu : Wakuu wa mikoa watembelea hifadhi ya Taifa ya Tarangire


IMG_1385+%25281280x853%2529
Wakuu wa Mikoa wakiwemo wakuu wa wilaya waliowakilisha mikoa yao wakiwa katika ofisi za Shirika za Hifadhi za Taifa nchini (TANAPA) muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kimafunzo katika Hifadhi ya TAifa ya Tarangire.
IMG_1394+%25281280x853%2529
IMG_1398+%25281280x853%2529
Wakuu wa Mikoa na wakuu wa wilaya wakiwasili katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire .
IMG_1413+%25281280x853%2529
Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Pascal Shelutete akitoa maelezo mafupi kwa Wakuu wa Mikoa na wakuu wa wilaya kabla ya kuanza safari ya kutembelea Hifadhi ya Tarangire.
IMG_1415+%25281280x853%2529
Mkuu wa Mkoa wa Manyara aliyekuwa mwenyeji wa wakuu wa mikoa hao,Joel Bendera akitoa neno la ukaribisho kwa wageni hao baada ya kufika katika Hifadhi ya Tarangire.
IMG_1432+%25281280x853%2529
Mkuu wa wilaya ya Tarime Glorious Luoga akichukua taswira wakati viongozi hao wakitembelea Hifadhi ya Taifa ya Tarangire iliyoko mkoani Manyara.
IMG_1443+%25281280x853%2529
Kivutio kimojawapo ni Ndege katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
IMG_1447+%25281280x853%2529
IMG_1449+%25281280x853%2529
Kundi la Tembo katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
IMG_1478+%25281280x853%2529
Wakuu wa mikoa wakitizama wanyama.
IMG_1476+%25281280x853%2529
Mnyama Ngiri katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
IMG_1488+%25281280x853%2529
Tembo katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
IMG_1498+%25281280x853%2529
Tumbili na mtoto wake mgongoni katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
IMG_1460+%25281280x853%2529
IMG_1512+%25281280x853%2529
Wakuu wa Mikoa na wakuu wa wilaya wakitizama eneo moja wapo la chanzo cha Mto Tarangire.
IMG_1518+%25281280x853%2529
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu ,Anthony Mtaka (kushoto) akizungumza jambo na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Saidi Mecky Sadick walipokuwa wakitizama sehemu ya chanzo cha Mto Tarangire.
IMG_1525+%25281280x853%2529
Kaimu Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Tarangire Susuma Kusekwa akitoa maelezo kwa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya waliotembelea hifadhi ya taifa ya Tarangire.
IMG_1530+%25281280x853%2529
Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa wilaya wakiwa katika picha ya pamoja katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
IMG_1534+%25281280x853%2529
Wasaidizi wa wakuu wa Mikoa wakiwa katika picha ya pamoja katika Hifadhi ya taifa ya Tarangire.
IMG_1560+%25281280x853%2529
IMG_1562+%25281280x853%2529
Mnyama aina ya Kuro katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
IMG_1567+%25281280x853%2529
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka ambaye pia ni Raisi wa Shirikisho a Riadha Tanzania akiwa na Mkuu wa wilaya ya Mvomero,Betty Mkwasa ambaye pia ni mke wa Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ,Charles Mkwasa wakiwa ni miongoni mwa viongozi waliotembelea Hifadhi za Taifa Tarangire.
IMG_1574+%25281280x853%2529
IMG_1587+%25281280x853%2529
Wakuu wa Mikoa wakiwa katika moja ya hoteli zilizopo katika Hifadhi ya hiyo,Tarangire Safari Lodge wakitizama wanyama waliokuwa wakivuka mto.
IMG_1583+%25281280x853%2529
Kundi la Tembo likivuka mto .
IMG_1588+%25281280x853%2529
IMG_1604+%25281280x853%2529
Mandhari ya kuvutia ikionekana baada ya kufika katika Hotel ya Tarangire Safari Lodge.
IMG_1617+%25281280x853%2529
IMG_1620+%25281280x853%2529
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Said Mecky saidick pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Katavi,Meja Jenerali Mstaafu ,Raphael Mhuga wakitizama bidhaa katika moja ya maduka yaliyopo katika Hoteli ya Tarangire Safari Lodge.
IMG_1625+%25281280x853%2529
Mkuu wa Mkoa wa Katavi,Meja Jenerali ,Raphael Mhuga akitoa neno la Shukrani kwa niaba ya wenzake kwa uongozi wa Shirika la Hifadhi za Taifa,(TANAPA) baada ya kuhitimisha ziara ya kimafunzo katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *