Matukio : Wema Sepetu , Masanja watinga bungeni ,Dodoma - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


14 May 2016

Matukio : Wema Sepetu , Masanja watinga bungeni ,Dodoma


 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akiwa na wasanii mbalimbali pamoja na blogger nje ya bunge baada ya kuwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha wa 2016/2017, bungeni Dodoma. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Msanii Wema Sepetu akiwa na baadhi ya wasanii wengine bungeni

 Nape akiwa na baadhi ya wasanii nje ya Bunge
 Nape akisalimiana na wasanii
 Wema Sepetu akiwa na Martha Mlata
Wema akiwa na mmoja wa marafiki zake bungeni Dodoma
Mchekeshaji Masanja wa kikundi cha Ze Comedy akiwa bungeni wakati wa Bajeti hiyo

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad