![]() |
Jumuiya ya wakurugenzi wa serikali za Mitaa wapatao 60 Kutoka Uganda wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa kampuni ya MAXCOM Africa mapema leo walipokuwa wametembelea Ofisi za Maxmalipo Kujifunza ni jinsi Gani kampuni hii Imeweza kugundua teknolojia inayosaidia kudhibiti makusanyo kwenye vyanzo mbalimbali vya mapato katika Halmashauri za miji na majiji Nchini Tanzania. |
Shule ya Sekondari Viwandani yamshukuru Mbunge Mavunde kuboresha
miundombinu ya Elimu
-
Na. Faraja Mbise, VIWANDANI
Uongozi wa Shule ya Sekondari Viwandani wamshukuru Mbunge wa Dodoma Mjini,
Anthony Mavunde kwa kuboresha miundombinu ya shul...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment