Jumuiya ya wakurugenzi wa serikali za Mitaa wapatao 60 Kutoka Uganda wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa kampuni ya MAXCOM Africa mapema leo walipokuwa wametembelea Ofisi za Maxmalipo Kujifunza ni jinsi Gani kampuni hii Imeweza kugundua teknolojia inayosaidia kudhibiti makusanyo kwenye vyanzo mbalimbali vya mapato katika Halmashauri za miji na majiji Nchini Tanzania. |
MRADI WA UBORESHAJI USALAMA WA MILKI ZA ARDHI NZEGA MJINI KUKAMILIKA JUNI
30, 2024
-
*Na Eleuteri Mangi*
*Utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP)katika
Halmashauri ya Mji Nzega katika mkoa wa Tabora umetekele...
23 minutes ago
No comments:
Post a Comment