Mwandishi aliyewakilisha kituo cha redio cha Sauti ya Ujerumani (Deutsche
Welle) visiwani Zanzibar Salma Said na ambaye alitoweka Ijumaa, amepatikana.
Kamanda wa polisi wa Dar Simon Siro amethibitisha kupatikana kwa
mwanahabari huyo, BBC imezungumza na Mume wa Salma Said, Bw Ali Salim
Khamis, ambaye amesema kwa sasa Salma yumo anatoa maelezo kwa polisi Dar es
Salaam.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
WALIMU SIMANJIRO WAJENGEWA UWEZO SIS
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
WAKUU wa shule za sekondari na msingi wilayani Simanjiro mkoani Manyara,
wamejengewa uwezo wa kuandaa taarifa za shule kutoka...
TEA YASHIRIKI SIKU MAALUM YA WATAALAMU WA UHASIBU
-
Wadau mbalimbali wakipata Elimu katika banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania
(TEA) wakati wa maonesho kwenye siku maalum ya Wataalamu wa Uhasibu (NBAA
Career...
WANANCHI ZANZIBAR WAOMBA MASOKO YA MADINI
-
*Na Mwandishi wetu, **Zanzibar*
*Wananchi wa Zanzibar wameiomba Serikali kupitia Tume ya Madini kuanzisha
masoko na minada rasmi ya madini Visiwani hum...
No comments:
Post a Comment