Mwandishi aliyewakilisha kituo cha redio cha Sauti ya Ujerumani (Deutsche
Welle) visiwani Zanzibar Salma Said na ambaye alitoweka Ijumaa, amepatikana.
Kamanda wa polisi wa Dar Simon Siro amethibitisha kupatikana kwa
mwanahabari huyo, BBC imezungumza na Mume wa Salma Said, Bw Ali Salim
Khamis, ambaye amesema kwa sasa Salma yumo anatoa maelezo kwa polisi Dar es
Salaam.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Movies, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
VETA YATANGAZA MAADHIMISHO YA MIAKA 30
-
*Mkurugenzi Mkuu wa VETA, CPA Anthony Kasore, akizungumza na waandishi wa
Habari leo Februari 21,2025 katika Chuo Cha VETA Mkoani Singida kuelekea
maadhim...
Teknolojia : Kabudi Apongeza Waandishi wa Habari
-
Waandishi wa Habari 'Bloggers' kutoka Tanzania Bloggers Network (TBN)
ambao wameshiriki kikamilifu kwenye Kamati ya maandalizi ya mkutano huo
wakiwa k...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
No comments:
Post a Comment