Muziki : Waziri Nape Ahudhuria mazishi ya mwanamuziki gwiji wa muziki wa dansi Kassim Mapili - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


26 Feb 2016

Muziki : Waziri Nape Ahudhuria mazishi ya mwanamuziki gwiji wa muziki wa dansi Kassim Mapili


 Mwanahabari nguli Hemedi Kimwanga (kushoto waliosimama) akipeana pole na wanamuziki mbalimbali wakongwe wakati wa msiba wa Mzee Kassim Mapili Magomeni Mapipa jijini Dar es salaam leo
 Wanamuziki nyota wa kike walijitokeza kwa wingi katika msiba huu. Hapo kuna Nyota Abdallah, Anna Mwaole, Kida Waziri, Lwiza Mbuttu, Asha Salvador na wengineo wengi
 Kanku Kelly na Papaa Juma Mbizo wakimuaga Kassim Mapili

Banana Zorro, Ben Kinyaia, Mrisho Mpoto na mdau wa muziki 
 Mzee Makassy na wakongwe wenzie walikuwepo
 Kanku Kelly na Delphine Munumba wakiongea na kaka Emmanuel Mpangala msibani
 Mwakilishi kutoka Wiziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo akitoa rambirambi za serikali 
 Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akimfariji mtoto wa marehemu
  Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akimfariji mtoto wa marehemu
  Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akimfariji mtoto wa marehemu
  Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akipeana mikono na mwanamuziki mkongwe Mjusi Semboja huku akiongea na Mzee Makassy na wanamuziki wengine
 Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akiongea na mchambuzi wa muziki wa dansi mahiri Zomboko na mdau wa muziki Hassan

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad