Matukio : Wafanyakazi wa AICC wala kiapo cha uadilifu - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


16 Feb 2016

Matukio : Wafanyakazi wa AICC wala kiapo cha uadilifu

 Wafanyakazi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) wakila kiapo  cha Uadilifu kabla ya kujaza fomu za ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa Umma.
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), ndugu Elishilia Kaaya akiongea na wafanyakazi kabla ya kuapa na kujaza fomu za  ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa Umma. Katikati ni Mkurugenzi wa Fedha na  Utawala wa AICC, ndugu Savo Mungóngó na kulia ni Afisa Maadili wa Sekretarieti  ya Maadili ya Viongozi Umma, ndugu Hendry Sawe.
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), ndugu Elishilia Kaaya akiweka saini fomu za ahadi ya uadilifu za baadhi ya Wafanyakazi wa AICC baada ya wafanyakazi hao kuapa na kuzijaza.
Afisa Maadili wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi Umma ndugu Hendry Sawe  akitoa mada juu ya Maadili kwa Viongozi wa Umma na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa Umma muda mfupi kabla ya wafanyakazi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) kujaza fomu za ahadi ya uadilifu.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad