![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEipWlqFSb6Q_Lu9BAvFt8umIBoaRU8l3QxObiKOOWjdhveMkiYQ1DVI4bLMPm4aySfOgzroNdmMX8JPA-Cgeu28_UjbRDcJku3an8WPgMmE6Esdnx-vepN2N9B4U4twrWoWp56R-u_jyTY/s640/1A.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu
Hassan, akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete, wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za
Afrika na China, wakati wakitembelea Mabanda ya maonesho ya mkutano huo
uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec 4, 2015.
ambapo Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu
mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo . Picha Zote na OMR
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh_oxnYHO02gnalTD8KqotxkNB0RjDb7R_XgA9yzj0tnWRVtEs7tsyVQdYBAyerQkTVvqtdBCTy_Wthrs9MxQ_kprq6EHWp4GF8Dqt7yuYE9iIPlPZfokCymnEOU8pcdqSV5p99jAH9OFw/s640/2..jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu
Hassan, akifurahia jambo na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya
Mrisho Kikwete (katikati) na Balozi wa China nchini Tanzania, Dkt. Lu
Youqing (kushoto) wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu
wa Nchi za Afrika na China, walipokuwa wakitembelea Mabanda ya maonesho
ya mkutano huo uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec
4, 2015. ambapo Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais
Mstaafu mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjNuuHHThkVkVH57Ki06bnaziNRAe1iSXC7142TD7aguDM0R1UDERM6Qa5VBOxyH5BcxFrbRMtd130GkM1jJp-wOF-eenL4zIWmsuSSHG4EQ3eqc3AkVeAUOStpX8NGUGc9v3hibGMBZh0/s640/3.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu
Hassan, na Rais Mstaafu wa awamu ya Tano, Dkt. Jakaya Kikwete,
wakiangalia moja ya Ndege ya Kivita ya mfano, wakati walipotembelea
Mabanda ya maonesho ya Mkutano Mkuu wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika
na China, uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec 4,
2015. Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu
mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg2abq_44s3P95Ilt7SJgm1WYMkbKnlgJjaGJ_J0FRHshyphenhyphen4hdFXJMccZFvQ1hN09M4zmmgyQX-R4uaagIZLdz3cOcCRTzrXPHYe_V1qqhAH34aoEdM0aza6claZyw9D_WZ8ctr7wd2kGz8/s640/3B.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgwZs-kdwRurJAQi8qhTXSE6I0OJDM96Ip8Tv8eHkVaImXrAwNLKa8uyTYvArtyrXsr2VTLlhT9Ro6gzKFEk4Gh-ggannbW09TBaMvTKDuJ31FGLcjFJHNfdzBgFr4SHKVVXCPpr1qom10/s640/01.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg3c_H9xIDaLpsOMS8Lk3J5jG3fmTV6iDrz4WkVXx-Ml01b7SHUUYxxUBMbHcgQVhXlXNVOQjmZ648E2d3xmFrHWBvlh60bfS09iqXcDo45PGk_UIjEZcP79W-hMOYfJs61czHGEMbETUw/s640/21.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgdi-WaHMRIEwaVKvvM3pyORAkt4cTyNq3YbSuow2hCyZjV2xpgm_CN-MCnYyfMpEAEMPdz_jJ7ub_NHI8U11tHv3fRuoKAA_KZkKIGL67dXXyxWDYXnsZgyCBCltV4gP6CNhacM3PXm9w/s640/02.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu
Hassan, akipitia 'Document' kabla ya kuhutubia katika Mkutano mkuu wa
Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, unaomalizika leo jijini
Johannesburg Afrika ya Kusini.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akipitia 'Document' kabla ya kuhutubia katika Mkutano mkuu wa Tano wa
Wakuu wa Nchi za Afrika na China, unaomalizika leo jijini Johannesburg
Afrika ya Kusini.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akiwa katika ukumbi wa mkutano wakati akijiandaa kuhutubia kwenye
Mkutano mkuu wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, unaomalizika
leo jijini Johannesburg Afrika ya Kusini.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjCnJSYYq18IId9sQx2qEUJC4Ckb6pXfBOR10hUxqzJ4AEXMop3sn6ex6kKn8_borjzESh0ip-wx62_Q_3p59UiiqrDUrQNmeVUWgRwsBPcpjvzI0P0hA3uo3Idpp43m_7fRjAHuoMc_80/s640/03.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhHW4oHP4XRUPcuxZdvAlD8NXXUjI_SZ3JgPmsXOgUTVwShhKaN4gUNg9_7diuv11yaVxGLbrMmlqDpkNSLOm10Q4Il7d7iTh0JMDFIL-Jj1gm0DTwlc1vA_KBp3904PvPkqtZXywwx4KE/s640/04.jpg)
No comments:
Post a Comment