Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea shada la maua kutoka kwa kaimu Mkurugenzi wa Utawala wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Savera Kazaura (kulia) Baada ya kuwasili ofisini kwake Novemba 23, 2015. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt, Florence Turuka. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Vodacom Digital Accelerator na Bridge for Billions waingia ubia wa miaka
mitatu kuimarisha mfumo wa ujasiriamali Tanzania
-
*Mkurugenzi wa Vodacom Business Nguvu Kamando (kushoto), akisalimiana na
Mkurugenzi wa Programu za Afrika wa Bridge for Billions, Liliosa Mbirimi
(kulia)...
1 day ago
No comments:
Post a Comment