Matukio : Panone FC Yasonga Mbele ligi ya Shirikisho la Azam, Yaifunga Polisi Dar 2 -1 - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Sunday, 22 November 2015

demo-image

Matukio : Panone FC Yasonga Mbele ligi ya Shirikisho la Azam, Yaifunga Polisi Dar 2 -1


IMG_9399+%25281024x683%2529
Wachezaji wa timu ya soka ya Panone fc wakipasha misuli moto kabla ya kuanza kwa mchezo wa ligi ya shirikisho inayodhaminiwana Azam.
IMG_9401+%25281024x683%2529
Wachezaji wa timu ya Polisi Dar wakipasha misuli moto kabla ya kuanza kwamchezo wa ligi ya shirikisho hidi ya Panone fc mchezo uliopigwa katika uwanja wa Chuo cha Ushirika.
IMG_9402+%25281024x683%2529
Kocha wa timu ya soka ya Panone fc,Atuga Manyundo akizungumza na Azam TV iliyokuwa ikirusha mchezo huo moja kwa moja.
IMG_9406+%25281024x683%2529
IMG_9408+%25281024x683%2529
IMG_9409+%25281024x683%2529
Wapiga picha wa Azam Tv wakiweka sawa mitambo yao kwa ajili ya kurusha live mchezo huo.
IMG_9410+%25281024x683%2529
IMG_9411+%25281024x683%2529
IMG_9412+%25281024x683%2529
Vikosi vya timu za Polisi Dar na Panone fc vikiwa tayari kuingia uwanjani.
IMG_9413+%25281024x683%2529
Vikosi vikiingia uwanjani.
IMG_9414+%25281024x683%2529
Panone fc
IMG_9416+%25281024x683%2529
Polisi Dar.
IMG_9418+%25281024x683%2529
Wachezaji wa timu hizo wakisalimiana.
IMG_9420+%25281024x683%2529
Benchi la Polisi Dar.
IMG_9421+%25281024x683%2529
Benchi la Panone fc.
IMG_9422+%25281024x683%2529
Kikosi cha Panone fc.
IMG_9424+%25281024x683%2529
Waamuzi wa mchezo uo.
IMG_9427+%25281024x683%2529
IMG_9428+%25281024x683%2529
Camera maalum aina ya Drone akipiga picha za juu katika uwanja wa Ushirika wakati wa mchezo wa ligi ya Shirikisho kati ya Panone fc na Polisi Dar.
IMG_9430+%25281024x683%2529
Azam Tv walikuwa live kurusha mchezo huo.
IMG_9432+%25281024x683%2529
heka heka katika mchezo huo.
IMG_9434+%25281024x683%2529
Panone fc wakishangilia baada ya kupata bao la kwanza.
IMG_9435+%25281024x683%2529
Heka heka.
IMG_9437+%25281024x683%2529
IMG_9438+%25281024x683%2529
Heka heka langoni mwa timu ya Polisi Dar.
IMG_9440+%25281024x683%2529
Wachezaji wa Polisi Dar wakishangilia mara baada ya kusawazisha bao.
IMG_9443+%25281024x683%2529
Panone fc wakifanya mabadiliko ,mchezaji Pompy akiingia.
IMG_9444+%25281024x683%2529
IMG_9448+%25281024x683%2529
IMG_9449+%25281024x683%2529
Baadhi ya Mashabiki waliojitokeza katika mchezo huo.
IMG_9451+%25281024x683%2529
IMG_9456+%25281024x683%2529
IMG_9457+%25281024x683%2529
Figisu figisu ilipotokea uwanjanihapa kidogo wachezaji wa timu zote mbili akioneshana msuli.
IMG_9458+%25281024x683%2529
Mmoja wa wachezaji wa timu ya Panone fc akiwa chini akisikilizia maumivu baada ya kuchezewa vibaya na mchezaji wa Polisi Dar.
IMG_9459+%25281024x683%2529
Mchezaji wa Panone fc akipewa msaada wa huduma ya kwanza mara baada ya kuchezewa vibaya.
IMG_9460+%25281024x683%2529
Mlinzi wa timu ya Panone fc Pompy akijaribu kumiliki mpira.
IMG_9461+%25281024x683%2529
Aliyekuwa Kocha wa timu ya soka ya JKT Ruvu ,Felix Minziro akiwa katika uwanja wa Ushirika akifuatilia mchezo kati ya timu ya Panone fc na Polisi Dar ,
IMG_9462+%25281024x683%2529
Moja ya heka heka langoni mwa timu ya Panone fc.
IMG_9463+%25281024x683%2529
IMG_9465+%25281024x683%2529
IMG_9466+%25281024x683%2529
IMG_9467+%25281024x683%2529
IMG_9468+%25281024x683%2529
IMG_9469+%25281024x683%2529
Pompy akijaribu kumzuia msgambuliaji wa timu ya Polisi  Dar,
IMG_9470+%25281024x683%2529
Mwamuzi wamchezo huo ,Nathan akiashiria kumalizika kwa dakika 90 za mchezo huo.
IMG_9471+%25281024x683%2529
Mwisho wa mchezo Panone fc 2 Polisi Dar 1.
IMG_9472+%25281024x683%2529
Waamuzi wakitoka uwanjani.
IMG_9473+%25281024x683%2529
Wazee wa kubeti nao hao hawako nyuma sasa hivi wanatembea na mashine zao hadi katika viwanja vya michezo.
IMG_9476+%25281024x683%2529
Wapiga picha wa Azam Tv wakichukua matukio mbalimbali.

Na Dixon Busagaga wa Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *