Teknolojia na Maisha : Vodacom Tanzania Yajipanga Kuzuia Mimba Mashuleni - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Monday, 19 October 2015

demo-image

Teknolojia na Maisha : Vodacom Tanzania Yajipanga Kuzuia Mimba Mashuleni


IMG_0657+%25281280x853%2529
Mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Uru Moshi vijijini,Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Mawasiliano ya simu za Mkononi,Georgia Mutagahywa (mwenye suti nyeusi) akizungumza jambo mara baada ya kutembelea darasa la Kompyuta shuleni hapo juzi.
IMG_0669+%25281280x853%2529
IMG_0670+%25281280x853%2529
Mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Uru Moshi vijijini,Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Mawasiliano ya simu za Mkononi,Georgia Mutagahywa akiongozana na mkuu wa shule hiyo Jacob Costantine wakielekea eneo la mahafali.
IMG_0672+%25281280x853%2529
Mwenyekiti wa Taasisi ya Hassan Majaar Trust ,Balozi Mwananidi Sinare Majaar (kushoto) pia alikuwa ni miongoni mwa wageni waliofika shuleni hapo kwa ajili ya mahafali ya 13 ya kidato cha nne.
IMG_0674+%25281280x853%2529
Wananfunzi wakionesha umahiri wa kucheza parade wakati wa kuwakaribisha wageni waalikwa.
IMG_0675+%25281280x853%2529
Wahitimu wakiwa wima kwa ajili ya wimbo wa taifa.
IMG_0676+%25281280x853%2529
Mgeni rasmi pamoja na meza kuu wakiwa wima kwa ajili ya kuimba wimbo wa taifa.
IMG_0684+%25281280x853%2529
IMG_0687+%25281280x853%2529
IMG_0688+%25281280x853%2529
Baadhi ya wazazi wenye watoto wanaohitimu kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe wakifuatilia mahafali hayo.
IMG_0708+%25281280x853%2529
Mkuu wa shule ya sekondari ya Shimbwe ,Jacob Costantine akizungumza wakati wa mahafalai ya 13 ya kidato cha nne yaliofanyika mwishoni mwa wiki shuleni hapo.
IMG_0712+%25281280x853%2529
Mwenyekiti wa Bodi ya shule ya sekondari ya Shimbwe ,Batromeo Temba akizungumza wakati wa mahafalai ya 13 ya kidato cha nne yaliofanyika mwishoni mwa wiki shuleni hapo.
IMG_0716+%25281280x853%2529
IMG_0718+%25281280x853%2529
IMG_0723+%25281280x853%2529
IMG_0731+%25281280x853%2529
Mgeni rasmi katika mahafali hayo,Geogia Mutagahywa alishindwa kujizuia wakati wanafunzi wa shule hiyo wakitoa burudani kwa wageni waalikwa.
IMG_0733+%25281280x853%2529
IMG_0734+%25281280x853%2529
Balozi Mwanaid Majaar pia aliamua kuonesha umahiri wake katika kucheza kwaito.
IMG_0740+%25281280x853%2529
Baadhi ya wanafunzi wanao hitimu kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe.
IMG_0742+%25281280x853%2529
Wanafunzi Daudi Silayo na Rehema Kira wanaohitimu kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe wakisoma risala mbele ya mgeni rasmi.
IMG_0744+%25281280x853%2529
IMG_0745+%25281280x853%2529
IMG_0746+%25281280x853%2529
Mgeni rasmi akiwapongeza wanafunzi waliosoma risala.
IMG_0776+%25281280x853%2529
IMG_0777+%25281280x853%2529
IMG_0796+%25281280x853%2529
IMG_0799+%25281280x853%2529
Balozi Mwananidi Majaar akizungumza wakati wa mahafali ya 13 ya shule ya sekondari ya Shimbwe alipohudhuria kama mgeni mualikwa.
IMG_0807+%25281280x853%2529
Mwakilishi wa wazazi wa watoto wanaomaliza elimu yao ya kidato cha nne shuleni hapo Eliaringa Owoya akizungumza kwa niaba ya wazazi wenzake.
IMG_0825+%25281280x853%2529
IMG_0833+%25281280x853%2529
IMG_0837+%25281280x853%2529
Mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Uru Moshi vijijini,Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Mawasiliano ya simu za Mkononi,Georgia Mutagahywa akitoa hotuba yake kwa wazazi na wanafunzi waliofika kwa ajaili ya shughuli ya mahafali hayo.
IMG_0840+%25281280x853%2529
IMG_0849+%25281280x853%2529
IMG_0852+%25281280x853%2529
IMG_0865+%25281280x853%2529
IMG_0867+%25281280x853%2529
IMG_0873+%25281280x853%2529
Mgei rasmi akitunuku vyeti kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne.
IMG_0881+%25281280x853%2529
IMG_0884+%25281280x853%2529
IMG_0885+%25281280x853%2529
IMG_0889+%25281280x853%2529
IMG_0890+%25281280x853%2529
Mgeni rasmi pia alitunuku vyeti kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo yao na uongozi shuleni hapo.
IMG_0891+%25281280x853%2529
Baadhi ya ndugu waliofika katika mahafali hayo.

Na Dixon Busagaga wa Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *