Kampeni za UKAWA : Lowassa Afunika Nyumbani kwa Dk. Slaa - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Saturday, 10 October 2015

demo-image

Kampeni za UKAWA : Lowassa Afunika Nyumbani kwa Dk. Slaa


OTH_5793
OTH_5819
Sehemu ya wananchi wa Mji wa Karatu, wakionyesha furaha yao baada ya kuiona Chopa inayotumiwa na Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, wakati ikiwasili kwenye Uwanja wa Mkutano, Mjini Karatu, Oktoba 9, 2015.
OTH_5895
Kikundi cha Ngoma ya Asili kikitoa Burudani katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mbowe, Mjini Karatu, Oktoba 9, 2015.
OTH_6316
OTH_6328
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akivishwa vazi rasmi la kimila la kabila la wa Iraki, wakati wa Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mbowe, Mjini Karatu ,Oktoba 9, 2015.
OTH_6482
OTH_6339
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mbowe, Mjini Karatu, Oktoba 9, 2015.
OTH_6563
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akiteta jambo na baadhi ya Wagombea Udiwani wa Kata mbali mbali za Mji wa Karatu.
OTH_6083
OTH_6123
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Freeman Mbowe, akihutubia wananchi katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mbowe, Mjini Karatu, Oktoba 9, 2015.
OTH_6143
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akisikiliza kwa makini Houba ya Mwenyekiti wake, Mh. Freeman Mbowe (hayupo pichani), aliyokuwa akiitoa kwa wananchi wa Mji wa Karatu.OTH_6210
OTH_6247
Mwanasiasa Mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngomale Mwiru, akisisitiza jambo katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mbowe, Mjini Karatu, Oktoba 9, 2015.
OTH_5714
Waziri Mkuu wa Zamani, Mh. Fredrick Sumaye akihutubia wananchi katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mbowe, Mjini Karatu, Oktoba 9, 2015.
OTH_5926
Meza Kuu.
OTH_6263

OTH_5971

OTH_5988

OTH_5998
OTH_6146
OTH_6095

OTH_6114
OTH_6183

OTH_6573

OTH_6582

OTH_6615

OTH_6637

OTH_5128

OTH_5135

OTH_5137

OTH_5138

OTH_5143

OTH_5147

OTH_5148

OTH_5165

OTH_5168

OTH_5173

OTH_5198

OTH_5201

OTH_5208

OTH_5219

OTH_5223

OTH_5229

OTH_5235

OTH_5236

OTH_5242

OTH_5254

OTH_5276

OTH_5285

OTH_5298

OTH_5340

OTH_5347

OTH_5364

OTH_5371

OTH_5379

OTH_5409

OTH_5426

OTH_5436

OTH_5440

OTH_5462

OTH_5521

OTH_5539

OTH_5575

OTH_5582

OTH_5585

OTH_5595

OTH_5599

OTH_5620

OTH_5640

OTH_5650

OTH_5741

OTH_5744

OTH_5749

OTH_5758




No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *