Matukio : Rais Nyusi wa Msumbiji Amwandalia JK Dhifa Maalum ya Kumuaga, jiji la Maputo Lamtunuku Ukazi wa Kudumu - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Saturday, 10 October 2015

demo-image

Matukio : Rais Nyusi wa Msumbiji Amwandalia JK Dhifa Maalum ya Kumuaga, jiji la Maputo Lamtunuku Ukazi wa Kudumu

unnamed+%252850%2529
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Felipe Jacinto Nyusi  wa Msumbiji wakigonga glasi ya kutakiana heri wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete na ujumbe wake katika ikulu ya nchi hiyo jijini Maputo maarufu kama Ponta Vermelha usiku wa kuamkia leo.Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuwaaga wananchi wa Msumbiji akisisitiza kuwa uhusiano wa kidugu na kipekee kati ya nchi hizo mbili utaendelea kudumu na kukua
unnamed+%252851%2529
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Felipe Jacinto Nyusi wakisimama wakati nyimbo za Taifa zikipigwa wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete na ujumbe wake katika ikulu ya nchi hiyo maarufu kama Ponta Vermelha usiku wa kuamkia leo.
unnamed+%252852%2529
 Mstahiki Meya wa Jiji la Maputo Mh.David Simango akimvisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete vazi maalum na kumkabidhi Ufunguo wa jiji la Maputo kama ishara ya kumtunuku ukazi wa kudumu wa heshima wa jiji hilo wakati wa hafla iliyofanyika katika Jumba la Halmashauri ya jiji la Maputo


unnamed+%252853%2529
 Mstahiki Meya wa Jiji la Maputo Mh.David Simango akijiandaa kumpa  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  Ufunguo wa jiji la Maputo kama ishara ya kumtunuku ukazi wa kudumu wa heshima wa jiji hilo wakati wa hafla iliyofanyika katika Jumba la Halmashauri ya jiji la Maputo
unnamed+%252854%2529

 Mstahiki Meya wa Jiji la Maputo Mh.David Simango akijiandaa kumpa  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  Ufunguo wa jiji la Maputo kama ishara ya kumtunuku ukazi wa kudumu wa heshima wa jiji hilo wakati wa hafla iliyofanyika katika Jumba la Halmashauri ya jiji la Maputo
unnamed+%252856%2529
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  akishukuru kwa kupewa Ufunguo wa jiji la Maputo kama ishara ya kumtunuku ukazi wa kudumu wa heshima wa jiji hilo wakati wa hafla iliyofanyika katika Jumba la Halmashauri ya jiji la Maputo. Picha na Freddy Maro.


RAIS KIKWETE ATEMBELEA BUNGE LA MSUMBIJI
01-IMG_2779
02-IMG_2774
Spika wa Bunge la Msumbiji Mh.Veronica Macamo akimkabirisha Rais Kikwete katika bunge hilo,kumtambulisha kwa baadhi ya wabunge na kufanya naye mazungumzo.
03-IMG_2776
04-IMG_2781


05-IMG_2792


06-IMG_2809


07-IMG_2832
 Rais Kikwete akisaini kitabu cha wageni mashuhuri huku Spika wa Bunge hilo Veronica Macamo akishuhudia.
08-IMG_2834


09-IMG_2835
 Rais Kikwete aongea na waandishi wa habari Bungeni Maputo hawapo pichani (picha na Freddy Maro)
10-IMG_2850
RAIS KIKWETE AANZA ZIARA YA KISEREKALI SIKU MBILI MSUMBIJI
01-IMG_264802-IMG_2649
03-IMG_2658
Rais Felipe Jacinto Nyusi wa Msumbiji akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Maputo wakati alipowasili kuanza ziara ya kiserikali ya siku mbili .
04-IMG_2662



Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu kwa Rais Felipe Jacinto Nyusi wa Msumbiji.
05-D92A0908
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Felipe Jacinto Nyusi wa Msumbiji wakipokea heshima  ya Urais wakiwa katika jukwaa maalum(Saluting Dias) na kupigiwa mizinga 21 na kikosi cha jeshi la Msumbiji.
06-D92A0940
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Felipe Jacinto Nyusi wa Msumbiji wakipokea heshima  ya Urais wakiwa katika jukwaa maalum(Saluting Dias) na kupigiwa mizinga 21 na kikosi cha jeshi la Msumbiji.
07-D92A0947
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongozwa na mwenyeji wake Rais Felipe Jacinto Nyusi kukagua  gwaride la heshima lililoandaliwa na vikozi vya Ulinzi vya jeshi la Msumbiji.
09-D92A0964
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Felipe Jacinto Nyusi wa Msumbiji wakipokea maua kutoka kwa watoto na kasha kupia nao picha.
10-D92A0987
11-D92A1157Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Felipe Jacinto Nyusi wa Msumbiji wakipokea maua kutoka kwa watoto na kasha kupia nao picha.
RAIS KIKWETE NA RAIS NYUSI WAFANYA MAZUNGUMZO MAPUTO
1-IMG_2718
2-IMG_2725
3-IMG_2752
4-IMG_2755
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika eneo la mnara wa Mashujaa wa vita vy ukombozi jijini Maputon a kuweka shada la maua(picha na Freddy Maro).
RAIS KIKWETE AWAENZI MASHUJAA WA VITA VYA UKOMBOZI VYA MSUMBIJI
1-D92A1184
2-D92A1185
3-D92A1206
4-D92A1211
5-D92A1213
6-D92A1257
7-D92A1273
8-D92A1284

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *