Matukio : Flaviana Matata Foundation Yaadhimisha tena Ibada ya Kuwakumbuka Waliopoteza Maisha kweny Ajali ya MV Bukoba, 21:05:1996 - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Friday, 22 May 2015

demo-image

Matukio : Flaviana Matata Foundation Yaadhimisha tena Ibada ya Kuwakumbuka Waliopoteza Maisha kweny Ajali ya MV Bukoba, 21:05:1996


UKIWA NI MWAKA WA 19 TANGU AJALI YA MV BUKOBA ITOKEE FLAVIANA MATATA KUPITIA MFUKO WA FLAVIANA MATATA FOUNDATION AMBAYO IMEKUWA IKIADHIMISHA KWA KUSOMA IBADA NA KUKUMBUKA WAHANGA HAO AKIWEMO MAMA YAKE MZAZI. 

MWAKA WA NNE SASA FMF IKIWA INAFANIKISHA IBADA IYO AMBAPO ILISOMWA KATIKA KANISA LA NYAKAHOJA JIJINI MWANZA NA KISHA KUMALIZIA IBADA IYO KATIKA MAKABURI HAYO YALIYOPO IGOMA JIJINI MWANZA.

FLAVIANA MATATA FOUNDATION INAPENDA KUWASHURU TEAM YA ZALENDO TANZANIA , MARINE SERVICE KWA KUSHIRIKIANA NASI KATIKA IBADA IYO PAMOJA NA NDUGU ,JAMAA NA MARAFIKI SAMBAMBA NA FAMILIA ZA WAFIWA..com/blogger_img_proxy/ .com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/.com/blogger_img_proxy/TEAM ZALENDO TANZANIA WALIKUWAJA RASMI NA T-SHIRT ZAO ZA HATUTASAHAU MAY 21.com/blogger_img_proxy/MUANZILISHI WA ZALENDO TANZANIA MIRAJI KIKWETE NAE ALIKUWEPO NA TEAM YAKE NZIMA.com/blogger_img_proxy/IDRISSA, MWANAFA , AY NAO WALIKUWEPO .com/blogger_img_proxy/ .com/blogger_img_proxy/.com/blogger_img_proxy/.com/blogger_img_proxy/.com/blogger_img_proxy/.com/blogger_img_proxy/.com/blogger_img_proxy/.com/blogger_img_proxy/ .com/blogger_img_proxy/.com/blogger_img_proxy/.com/blogger_img_proxy/.com/blogger_img_proxy/.com/blogger_img_proxy/

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *