Maisha Yetu : Kampuni ya BONITE BOTTLERS Yatoa Msaada kwa Waathirika wa Mafuriko Moshi Vijijini. - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 22 May 2015

demo-image

Maisha Yetu : Kampuni ya BONITE BOTTLERS Yatoa Msaada kwa Waathirika wa Mafuriko Moshi Vijijini.


E86A8089+%2528800x533%2529
Meneja mwajiri wa kampuni ya Bonite Bottlers ,Joyce Sengoda akiwasalimia wananchi katika vijiji vya Mikocheni ,Kilungu na Chemchem vilivyofikwa na mafuriko hivi karibuni wakati uongozi wa kampuni hiyo ulipofika kwa ajili ya kutoa msaada.
E86A8092+%2528800x533%2529
E86A8093+%2528800x533%2529
Meneja Masoko na mauzo na wa kampuni ya Bonite Bottlers Ltd Christopher Loiruk akizungumza wakati wa kukabidhi msaada kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni katika vijiji hivyo.
E86A8104+%2528800x533%2529
Meneja masoko na mauzo wa kampuni ya Bonite,Christopher Loiruk akikabidhi msaada wa sukari kilo 750 kwa mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga kwa ajili ya wananchi walioathirika na mafuriko katika vijiji vya Mikocheni,Kilungu na Chemi chemi.
E86A8111+%2528800x533%2529
Meneja masoko na mauzo wa kampuni ya Bonite Bottlers Ltd ,Christopher Loiruk akikabidhi msaada wa maji zikiwa ni  katoni 500 kwa mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga kwa ajili ya wananchi walioathirika na mafuriko katika vijiji vya Mikocheni,Kilungu na Chemi chemi.
E86A8118+%2528800x533%2529
Meneja muajiri wa Bonite Bottlers ,Joyce Sengoda akikabidhi ndoo za mafuta kwa mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga ambazo zimetolewa 30 kwa ajili ya waathirika wa mafuriko katika vijiji vya Mikocheni,Kilungu na Chemchem.
E86A8122+%2528800x450%2529
Mkuu wa wilaya ya Moshi ,Novatus Makunga akipokea msaada wa sabuni kutoka kwa meneja masoko na mauzo wa kampuni ya Bonite Bottlers,Christopher Loiruk kwa ajili ya waathirika wa mafuriko yaliyotokea wilaya ya Moshi vijijini.
E86A8123+%2528800x450%2529
Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akipokea msaada wa unga kutoka kwa Meneja mwajiri wa kampuni ya Bonite Bottlers,Joyce Sengoda kwa ajili ya kusaidia waathirika wa mafuriko.
E86A8125+%2528800x450%2529
E86A8136+%2528800x533%2529
Mkuu wa wilaya ya Moshi Novatus Makunga akizungumza mara baada ya kupokea msaada kutoka kampuni ya Bonite Botttlers kwa ajili ya waathirika wa mafuriko.
E86A8018+%2528800x533%2529
E86A8023+%2528800x533%2529
Eneomoja wapo ambalo wakazi wake wameathirika kwa mafuriko katika kijiji cha Kilungu.
E86A8144+%2528800x533%2529
E86A8166+%2528800x533%2529
Msaada wa maji ambayo yametolewa kwa waathirika wa mafuriko katika vijiji hivyo ili kupunguza kutokea kwa maradhi ya tumbo yanayoweza kutokea kwa matumizi ya maji machafu.
E86A8170+%2528800x533%2529
E86A8177+%2528800x450%2529
Unga wa ngano ukishushwa kwa ajili ya waathirika hao.
E86A8150+%2528800x533%2529
E86A8153+%2528800x533%2529
E86A8158+%2528800x533%2529
E86A8160+%2528800x533%2529
E86A8161+%2528800x533%2529
Baadhi ya nyumba zilizo athirika na mafuriko hayo.
E86A8061+%2528800x533%2529
E86A8062+%2528800x533%2529
E86A8076+%2528800x533%2529
Baadhi ya wakazi wa vijiji hivyo ambao baadhi yao bado wako katika kambi iliyopo kijiji cha Kilungu wakiishi katika zahanati ya kijiji hicho.

Na Dixon Busagaga wa Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *