Muziki : SKYLIGHT BAND Yazidi Kuwapagawisha Mashabiki wake,njoo leo uone Vitu vipya - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 24 April 2015

demo-image

Muziki : SKYLIGHT BAND Yazidi Kuwapagawisha Mashabiki wake,njoo leo uone Vitu vipya


DSC_0191
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 akiimba mmoja ya nyimbo yenye hisia kali sambamba na msanii mwenzake Sam Mapenzi kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar
DSC_0259
Sony Masamba akiendelea kutoa burudani huku akisindikizwa na wanamziki wenzake ambao ni Aneth Kushaba(wa pili kutoka kulia) pamoja na Sam Mapenzi(Kulia)
DSC_0237
Ashura Kitenge akiimba kwa pamoja na Sam Mapenzi mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar
DSC_0250
Sam Mapenzi akitoa burudani huku akisindikizwa na wanamziki wenzake ambao ni Joniko Flower(wa kwanza kushoto), Ashura Kitenge(wa pili kutoka kulia) pamoja na Sony Masamba.
DSC_0254
Aneth Kushaba AK 47 (kushoto) akiimba sambamba na Sony Masamba mbele ya mashabiki wao (hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar.
DSC_0217
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 akiwaimbia mashabiki wa bendi hiyo waliofika kwenye Kiota Cha Thai Village kuburusika na Bendi hiyo.
DSC_0273
DSC_0283
Waimbaji wa Skylight Band wakizirudi ngoma kwenye kiota cha Thai Village
DSC_0299
Msanii wa Skylight Band, Ashura Kitenge akicheza sambamba na mpiga jitaa
DSC_0309
Sony Masamba akiimba kwa hisia ndani ya Kiota cha Thai Village
DSC_0312
Waimbaji wa Skylight Band wakiendelea kutoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa bendi hiyo (hawapo pichani).
.com/blogger_img_proxy/
DSC_0327
Ni happy kwa mashabikiwa wa Skylight Band maana ni full kujiachia ndani ya Kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar.
DSC_0351
Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower(wa kwanza kushoto) akiongoza kikosi cha bend ya Skylight waliokuwa wakitoa burudani kwa mashabiki wao (hawapo picha) kwenye kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar.
DSC_0355
Ulifika ule muda wa kusugua mpaka utakate hii ni moja ya Style ya Bend ya Skylight waliyowafundisha mashabiki wa bend hiyo
DSC_0365
NI mwendo sasa wa mduara mambo ya mwambo nayo yanahusika ndani ya Bendi ya Skylight njoo leo ujionee mambo yenyewe
DSC_0370
Msanii wa Bendi ya Skylight, Aneth Kushaba(Kushoto) akicheza na mmoja wa mashabiki wakubwa wa bend hiyo
DSC_0397
DSC_0372
Mashabiki wa Bend ya Skylight wakiendelea kuserebuka kwenye Kiota Cha Thai Village, Masaki Jijini Dar
DSC_0388
Sony Masamba ambaye ni mmoja wa waimbaji wa Skylight akiendelea kutoa burudani huku akisindikizwa na waimbaji wenzake.
DSC_0383
Hii ni moja ya Kadi ya Member inatayotumika mpaka tarehe 31 mwezi wa 12 mwaka 2015
DSC_0421
Mashabiki wa Skylight Band walioingia kwenye tano bora wakiendelea kucheza ili kuwapata watatu bora zaidi.
DSC_0426
Joniko Flower (wa kwanza kushoto) pamoja na Sony Masamba(wa kwanza kulia) wakiendelea kuwashindanisha mashabiki wa Skylight Band walioingia kwenye nne bora ili kupata watu watatu watakaokabidhiwa Kadi za umember watakazokuwa wanazitumia kila siku ya Ijumaa ndani ya Kiota cha Thai Village
DSC_0432
Washindi waliojinyakulia kadi za umember wa Skylight Band wakizirudi kwa furaha kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar
DSC_0436
Mmoja wa washindi akicheza mara baada ya kupewa kadi ya Member wa Skylight na msanii wa bend ya Skylight Sam Mapenzi atakayokuwa anaitumia kila ijumaa ndani aya Thai Village jijini Dar
DSC_0437
Mmoja wa washindi akikabidhiwa kadi ya member wa Skylight na msanii wa bend ya Skylight Sam Mapenzi mara baada ya kushinda .
DSC_0438
Sam Mapenzi akizungumza jambo mara baada ya kumkabidhi shabiki wa bend ya Skylight kadi ya member atakayokuwa anaitumia kila ijumaa mpaka tarehe 31/12/2015.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *