Jeneza
lililobeba mwili wa marehemu Magdalena Petro Magige likiteremshwa
kutoka kwenye gari tayari kwa kutoa heshima ya mwisho kabla ya safari ya
kwenda kuupumzisha kijiji cha Kamange,Tarime mkani Mara.
Ndugu
, Jamaa na marafiki waliojitokeza kuja kutoa heshima za mwisho kwa
mpendwa wao Bibi Magdalena Petro Magige aliyefariki tarehe 19 Aprili
jijini Dar es Salaam.
Padri
Valence Matungwa akitoa somo wakati wa misa maalum ya kumuaga marehemu
Magdalena Petro Magige,Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Padri Ladislaus Kapinga akiongiza ibada wakati wa kumuaga marehemu Magdalena Petro Magige
Mtoto wa Marehemu Norah P. Mukami akipokea ekaristi takatifu wakati wa misa maalumu ya kumuaga Magdalena Petro Mukami.
Ndugu na jamaa waliojitokeza kwa wingi kwenye kutoa heshima ya mwisho kwa marehemu Magdalena Petro Magige.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza jambo na Mbunge wa
Bunge la Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma Alhaji
Adam Kimbisa na Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi
Tanzania (JWTZ) mstaafu, Jenerali George Mwita Waitara wakati wa kutoa
heshima za mwisho kwa marehemu Magdalena Petro Magige.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Which Animal Rules the Savanna with Pure Speed?
-
It’s not the lion. It’s not the gazelle it hunts.
It’s a blur of power, purpose, and raw acceleration.
It's the *CHEETAH*.
Witness the fastest land a...
No comments:
Post a Comment