Wachezaji wa Simba wakishangilia na kumpongeza mwenzao Emmanuel Okwi,
baada ya kuifungia timu yake bao lililoiwezesha Simba kuibuka na ushindi wa
bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka
Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
TUME YATEUA WAGOMBEA 17 UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA ISMANI
-
*Na. Mwandishi Wetu, Ismani *
*Wagombea 17 wameteuliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kugombea ubunge
Jimbo la Ismani lililopo Halmashauri ya Wilaya ya...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment