Michezo : Simba Sc Yaichapa Mtibwa Sugar 1 - 0 Uwanja wa Taifa Leo - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

Saturday 14 March 2015

Michezo : Simba Sc Yaichapa Mtibwa Sugar 1 - 0 Uwanja wa Taifa Leo


Wachezaji wa Simba wakishangilia na kumpongeza mwenzao Emmanuel Okwi, baada ya kuifungia timu yake bao lililoiwezesha Simba kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment