Wachezaji wa Simba wakishangilia na kumpongeza mwenzao Emmanuel Okwi,
baada ya kuifungia timu yake bao lililoiwezesha Simba kuibuka na ushindi wa
bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka
Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
BALOZI NCHIMBI ATOA SOMO UVCCM
-
-Awataka kushindana kwa hoja, akiwakabidhi jukumu zito Serikali za Mitaa
-Asema “CCM itawashinda kwa namna ambavyo hawajawahi kushindwa”
Katibu Mkuu wa Cha...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment