Wachezaji wa Simba wakishangilia na kumpongeza mwenzao Emmanuel Okwi,
baada ya kuifungia timu yake bao lililoiwezesha Simba kuibuka na ushindi wa
bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka
Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
TAFITI ZA NDANI ZATAKIWA KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA AKILI
-
Na Farida Mangube, Morogoro
Wataalamu wa saikolojia nchini wameeleza kuwa ukosefu wa tafiti zinazoakisi
uhalisia wa jamii za Kitanzania, pamoja na kue...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment