Wachezaji wa Simba wakishangilia na kumpongeza mwenzao Emmanuel Okwi,
baada ya kuifungia timu yake bao lililoiwezesha Simba kuibuka na ushindi wa
bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka
Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
TUME YATOA NENO KWA WAENDESHA VIFAA VYA BVR TANGA, PWANI
-
*Na Mwandishi wetu, Tanga*
*Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka waandishi wasaidizi na waendesha
vifaa vya Bayometriki kutoa huduma bora kwa wananchi...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment