Muziki na Burudani : SKYLIGHT BAND Yakonga Nyoyo za Mashabiki wake ndani ya Nyama Choma Festival - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Monday, 9 February 2015

demo-image

Muziki na Burudani : SKYLIGHT BAND Yakonga Nyoyo za Mashabiki wake ndani ya Nyama Choma Festival


.com/blogger_img_proxy/
Kikosi cha Skylight Band kikiongozwa na mkongwe wa muziki wa Live Band, Joniko Flower (kushoto) kutoa burudani kwa mashabiki wake ndani ya viwanja vya Leaders Club kwenye tamasha la Nyama Choma lilifanyika mwishoni mwa wiki. Kutoka kulia ni Sam Mapenzi, Aneth Kushaba AK47 pamoja na Sony Masamba.
.com/blogger_img_proxy/
Swagga za Skylight Band hii inafahamika kama "Mashauzi" mkongwe Joniko Flower akiwasebenesha mashabiki wake ( hawapo pichani).
.com/blogger_img_proxy/
Asali ya warembo Sam Mapenzi akifanya yake jukwaani kwenye tamasha la Nyama Choma ndani ya viwanja vya Leaders Club.
.com/blogger_img_proxy/
Watu weweeeeeeee yani ni full mzuka...pole kwa uliyekosa burudani ya aina yake ndani ya Leaders Club.
.com/blogger_img_proxy/
Vijana wakilisongesha gwaride la sebene ndani ya Nyama Choma Festival.
.com/blogger_img_proxy/
Majembe ya Skylight Band yakiongozwa na Sony Masamba (katikati) kutoa burudani kwenye tamasha la Nyama Choma ndani ya viwanja vya Leaders Club. Kushoto ni Joniko Flower na kulia ni Sam Mapenzi.
.com/blogger_img_proxy/
Warembo wakijinafasi ndani ya Leaders Club kwenye tamasha la Nyama Choma huku Skylight Band ikitoa burudani.
.com/blogger_img_proxy/
Mashabiki wa Skylight Band wakiendelea kupata burudani huku wengine wakirekodi kumbukumbu ya burudani hiyo kwenye simu zao.
.com/blogger_img_proxy/
Idrissa Drums na Moses Kinanda wakipika muziki mzuri kuhakikisha walaji wa burudani ya Skylight Band wanashiba.
.com/blogger_img_proxy/
Mashabiki wakisebeneka na burudani ya Skylight Band.
.com/blogger_img_proxy/
Pale raha ya burudani ya Skylight Band inapokolea ni kama hivi.....
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
Mdau akanibamba nampiga ukodak.
.com/blogger_img_proxy/
John Music akifanya yake jukwaani huku akipewa sapoti na Ashura Kitenge, Baby pamoja na Sony Masamba.
.com/blogger_img_proxy/
Anafahamika kwa jina la Ashura Kitenge akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band huku back vocal ikipigwa na Baby.
.com/blogger_img_proxy/
Daudi Tumba na Tophy Bass wakifanya yao jukwaani.
.com/blogger_img_proxy/
Warembo wakiendelea kula raha na Skylight Band. Kwa picha zaidi ingia modewjiblog

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *