Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mkazi wa Bagamoyo mjini,
Mohamed Amani anayeugua ugonjwa wa Kiharusi kutokana na maradhi ya
moyo.Rais kikwete aliyekuwa katika mapunziko ya mwisho wa wiki nyumbani
kwake mjini Bagamoyo alimwona mgonjwa huyo na kuamua kusimama kumjulia
hali na kuahidi kumpatia msaada wa matibabu. Picha na Freddy Maro
Magazetini Leo Desemba 12, 2025; Maisha ya Ughaibuni si lele mama, Yatisha
-
Copyright 2007-2021 @KAJUNASON BLOG
1 hour ago
No comments:
Post a Comment