Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mkazi wa Bagamoyo mjini,
Mohamed Amani anayeugua ugonjwa wa Kiharusi kutokana na maradhi ya
moyo.Rais kikwete aliyekuwa katika mapunziko ya mwisho wa wiki nyumbani
kwake mjini Bagamoyo alimwona mgonjwa huyo na kuamua kusimama kumjulia
hali na kuahidi kumpatia msaada wa matibabu. Picha na Freddy Maro
SAFARI YA KUZAA NA KUHAMA KWA NYUMBU YATUA FITUR HISPANIA
-
Na Mwandishi wetu.
Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia taasisi zake inaendelea kunadi
vivutio vya utalii vilivyopo Tanzania katika maonesho ya FITUR
y...
28 minutes ago
No comments:
Post a Comment