Uchumi na Biashara : Tume ya Mipango Watembelea Bandari ya Bukoba - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 19 December 2014

demo-image

Uchumi na Biashara : Tume ya Mipango Watembelea Bandari ya Bukoba

DSC08757
Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakiwasili kwenye Bandari ya Bukoba, walipofika kujionea bandari hiyo kongwe iliyopo kwenye fukwe za Ziwa Victoria, mkoani Kagera. Waliotangulia mbele ni Kiongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri (Wapili kulia). Wengine ni baadhi ya wajumbe wa msafara huo kutoka kushoto ni Bw. Omary Abdallah, Bibi Zena Hussein (Wapili kushoto) na Bw. Julius Edward (Kulia).
DSC08758
Madhari ya gati la Bandari ya Bukoba.
DSC08764
Wajumbe wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakiwa kwenye ngazi za kupandia kwenye meli zinazotia nanga kwenye Bandari ya Bukoba.
DSC08771
Wajumbe wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakiwa kwenye Ofisi za Bandari ya Bukoba. Jengo la Ofisi hiyo limejengwa takriban miaka 70 iliyopita.
DSC08773
Sehemu ya kupumzikia abiria ya Bandari ya Bukoba.
DSC08774
Wajumbe wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakiwa kwenye moja ya maghala ya kuhifadhia mizigo kwenye Bandari ya Bukoba. PICHA NA SAIDI MKABAKULI

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *