Muziki na Maisha : High Class Look na Mkubwa na Wanawe Yatoa Msaada kwa kituo cha Watoto Yatima temeke - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Sunday, 21 December 2014

demo-image

Muziki na Maisha : High Class Look na Mkubwa na Wanawe Yatoa Msaada kwa kituo cha Watoto Yatima temeke

unnamed+(2)
 Mkubwa Fela na wanawe wakitoa misaada kwa watoto yatima kituo cha Temeke jijini Dar es salaam leo kama moja ya shughuli za kusherehekea kutimia kwa mwaka mmoja toka Yamoto Band izaliwe
unnamed+(4)
 Mkuu wa kituo akikabidhiwa sehemu ya misaada hiyo na Mkubwa Fela
unnamed+(5)
  Mkubwa Feka na wanawe wakipozi na watoto yatima kituo cha Temeke jijini Dar es salaam leo baada ya kuwakabidhi misaada ikiwa kama moja ya shughuli za kusherehekea kutimia kwa mwaka mmoja toka Yamoto Band izaliwe
unnamed+(6)
 Misaada
unnamed+(7)
 Mkubwa Feka akiweka sawa sehemu ya misaada hiyo
unnamed+(8)
 Msaada zaidi
unnamed+(10)
 Mkubwa Feka na wanawe wakipozi na watoto yatima kituo cha Temeke jijini Dar es salaam leo baada ya kuwakabidhi misaada ikiwa kama moja ya shughuli za kusherehekea kutimia kwa mwaka mmoja toka Yamoto Band izaliwe
unnamed+(11)
 Mkubwa Feka na wanawe wakipozi na watoto yatima kituo cha Temeke jijini Dar es salaam leo
unnamed+(12)
 Mkubwa Feka na wanawe wakipozi na watoto yatima kituo cha Temeke jijini Dar es salaam leo baada ya kuwakabidhi misaada ikiwa kama moja ya shughuli za kusherehekea kutimia kwa mwaka mmoja toka Yamoto Band izaliwe
unnamed+(13)
 Mkubwa Feka na wanawe wakipozi na mkuu wa  kituo cha yatima Temeke jijini Dar es salaam leo baada ya kuwakabidhi misaada ikiwa kama moja ya shughuli za kusherehekea kutimia kwa mwaka mmoja toka Yamoto Band izaliwe
unnamed+(15)
 Mkubwa Fela na wanawe wakipokea shukurani kutoka kwa mkuu wa kituo
unnamed+(16)
 Mkuu wa kituo akimshukuru Mkubwa Fela na wanae
unnamed+(17)
 Mkuu wa kituo akiwashukuru Yamoto Band
unnamed+(19)
 Vijana wa Yatima Band wakitoa burudani kwa watoto yatima wa Temeke

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *