Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umenyakua tuzo tatu za ubunifu
katika sekta ya hifadhi ya Jamii Barani Afrika zinazosimamiwa na Shirikisho
la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Duniani (ISSA). Halfa ya kukabidhi tuzo hizo ilifanyika Jijini Casablanca nchini Morocco
usiku wa tarehe 3 Desemba, 2014 katika hoteli ya Serana jijini Casablanca
ambapo washiriki zaidi ya 360 kutoka taasisi 75 katika mataifa 45 ya Afrika
zilihudhuria. Kwa Maelezo zaidi bofya hapa >>>
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Which Animal Rules the Savanna with Pure Speed?
-
It’s not the lion. It’s not the gazelle it hunts.
It’s a blur of power, purpose, and raw acceleration.
It's the *CHEETAH*.
Witness the fastest land a...
No comments:
Post a Comment