Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na vijana kutoka kata za Kibaoni na
Usevya wilayani Mlele mkoani Katavi waliomtembelea nyumbani kwake Kibaoni
leo akiwa kwenye mapumziko na Krismas na Mwaka mpya. Katikati mwenye miwani ni Mzee Chrisant Mzindakaya. Picha na PMO
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
SAMIA LEGAL AID KURUDISHA TABASAMU LA WANANCHI.
-
Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, Arusha.
Msaada wa kisheria wa Samia Legal Aids umeahidi kurudisha tabasamu kwa
wananchi kwa kuwapatia msaada wa kisheria k...
No comments:
Post a Comment