Matukio (Picha) : Diamond Platnumz apokelewa Kwa Shangwe Kubwa Jijini Dar ,Baada ya Kutwaa Tuzo 3 za Channel O, Nchini Afrika Kusini - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Wednesday, 3 December 2014

demo-image

Matukio (Picha) : Diamond Platnumz apokelewa Kwa Shangwe Kubwa Jijini Dar ,Baada ya Kutwaa Tuzo 3 za Channel O, Nchini Afrika Kusini



IMG_2082

Diamond baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar.
MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini muda huu akitokea Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia tuzo tatu kwa mpigo. Tuzo alizonyakua staa huyo ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One.
IMG_2083

IMG_2084

IMG_2086

IMG_2089

IMG_2090
Tuzo jamani ndo hii hapa sasa......
IMG_2092



IMG_2095

IMG_2103

IMG_2107
Akizungumza na Vyombo vya habari
IMG_2109

IMG_2110

IMG_2111

IMG_2113

IMG_2117

IMG_2119

IMG_2120

IMG_2121

IMG_2122
Shangwe .......shangwe.....shangwe....

IMG_2125
Vicheko vya hapa na pale...
IMG_2127

IMG_2128

IMG_2133

IMG_2135

IMG_2137


IMG_2139

IMG_2140

IMG_2141


IMG_2143
Weweee Sukari ya Warembo....
IMG_2144


IMG_2147
Tuzo hiyoooo
IMG_2149

IMG_2151
Jicho la 3...
IMG_2153

IMG_2158

IMG_2163

IMG_2164


IMG_2170

IMG_2174

IMG_2175

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *