Mwalimu akisalimiana na Rais Iddi Amini Dadah wa Uganda wakati wa kikao cha OAU mjini Addis Ababa, Ethiopia enzi hizo. Kushoto kwa Mwalimu ni Waziri wa Mambo ya Nje Mhe John Malecela
Mwalimu akiwa na mume wa Malkia wa Uingereza, Prince Philip
Mwalimu akimlaki Waziri Mkuu wa wa Kwanza wa China Chou Enlai ambaye mtindo wake wa mashati ilirithiwa na Watanzania na kujulikana kama Chunlai
Mwalimu katika mazungumzo na Rais Iddi Amin Dadah wa Uganda. Kushoto ni Mama Maria Nyerere
Mwalimu Nyerere alkiongoza matembezi ya kuunga mkono Azimio la Arush
Familia ya Mwalimu Nyerere
Picha rasmi ya Mwalimu na Mama Maria Nyerere
Mwalimu na Madiba
Mwalimu na Mhe John Samwel Malecela
Mwalimu akimkumbatia Jakaya Mrisho Kikwete baada ya kutoa hotuba ya kukubali matokeo ya Urais alipogombea kwa mara ya kwanza mwaka 2005. Mhe Benjamin Mkapa alishinda
Mwalimu na Mama Maria Nyerere. Kwa picha zaidi Bofya Hapa >>>
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Ijumaa ya Kibingwa Imefika Ndani ya Meridianbet
-
SIKU ya leo unaweza kuanza Wikendi yako vyema kabisa kwa kubashiri mechi
zote hapa na Meridianbet. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo
kwaajili y...
Tuzo : Rais Mwinyi Apokea Tuzo
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, ametoa wito kwa taasisi na wadau wa sekta ya utalii kuongeza
ushiri...
No comments:
Post a Comment