Meneja wa Msanii wa Kimataifa T.I anayetarajiwa kuwasili chini , kwa
ajili ya kutumbuiza kwenye Tamasha la Fiesta 2014 hapo kesho katika viwanja
vya Lidaz Club jijini Dar, Jonson Geter wa kwanza kushoto akifafanua jambo
moja ya swali lililoulizwa na mmoja wasanii walioshiriki kwenye semina ya
fursa ndogo ya Wasanii na wadau wa muziki iliyofanyika kwenye ukumbi wa
Litle Theather,jijini Dar,Pichani kulia ni Prodyuza mahiri wa Muziki wa
hapa nchini anayemiliki studioo yake ya Bongo Records,P-Funk Majani.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA
-
Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa
kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo
yaliyofanyik...
No comments:
Post a Comment