AJALI MBAYA Arusha : Toyota Hiace Imegongana na Lori la Mafuta, Watu 12 Wamefariki SADEC -Tengeru ,Jijini Arusha - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Wednesday, 29 October 2014

AJALI MBAYA Arusha : Toyota Hiace Imegongana na Lori la Mafuta, Watu 12 Wamefariki SADEC -Tengeru ,Jijini Arusha


Ajali mbaya imetokea leo majira ya saa kumi jioni huko maeneo ya Sadec-Darajani -Tengeru jijini Arusha, iliyohusisha gari la abiria aina ya Hiace linalobeba watu toka Usa-River kwenda mjini na Roli la mafuta. Mashuhuda wa tukio hilo wameeleza kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva wa hiace iliyokuwa ikijaribu kuovataki ikakutana uso kwa uso na lori hilo. Katika ajali hiyo watu zaidi ya 10 wamepoteza maisha hususan waliokuwa katika Hiace.
 Magari yaliyopata Ajali
MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU MAHALI PEMA.

No comments:

Post a Comment