![]() |
Chenge akiwasilisha rasimu hiyo |
![]() |
Chenge akiwasilisha rasimu hiyo mbele ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba bungeni mjini Dodoma |
![]() |
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Zanzibar, akitafakari wakati rasimu hiyo ikisomwa |
![]() |
Waziri MkuuMstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanavikundi waliofika bungeni kusikiliza rasimu ya katiba inayopendekezwa |
![]() |
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Paul Makonda (Wapili kushoto), akiwa na baadhi ya wasanii wakiongozwa na rais wao, Saimon Mwakifwamba (Kulia) |
![]() |
Rais wa wasanii nchini Saimon Mwakifwamba akimpongeza Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Martha Mlata . Picha na Khalfan Said |
No comments:
Post a Comment